Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,439
- 166,892
Miradi ya ujenzi Tz ni ya kipigaji. Watajenga barabara yenye mapungufu ili baada ya miaka michache ipanuliwe tena
We unaona watu wa degree wakijielewaUmesomea nini ebu nianzie hapo na si ajabu umeishia la saba alafu leo unashauri watu wa digiriii
Hata co uvivu bali n kukumbatia pesa nainawezekana, sema uvivu wa kutumia akili.
Hii sio Kigamboni?
Hio ni flyover kabla hujafika daraja la kigamboniinawezekana
Umesomea nini ebu nianzie hapo na si ajabu umeishia la saba alafu leo unashauri watu wa digiriii
Ni nini sasa,je hichi ndio kipimo cha usomi wako?na je haya ndio maono yako yalipoishia?umenisikitisha.Umesomea nini ebu nianzie hapo na si ajabu umeishia la saba alafu leo unashauri watu wa digiriii
Usimlaumu. Hivi ukipima suggestion ya mtoa mada na huyo jamaa ni yupi hana shule. Obviously aliyetoa ushauri ndio mwenye shule kubwa kuliko huyo kanjanja.Wewe umeshindwa kuona kilichomo kwenye ushauri wake na badala yake umekimbilia kuhoji elimu yake,si ajabu tuna wasomi makanjanja wengi kama wewe Tz.
Kiukweli wewe ndio shule yako ndogo sana. Na kama una degree basi ulipata kwa ujanjaujanja kubebwa na wenzako kama katoto ka nyani. Group assignment ndio kabisa ulikuwa unajitokeza kuandika jina tu.Umesomea nini ebu nianzie hapo na si ajabu umeishia la saba alafu leo unashauri watu wa digiriii
Unataka kumaanisha kwamba yuko sawa na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam? Bashite?? Maana alifaulu la saba tuu alipoishia hakuna ajuayeUmesomea nini ebu nianzie hapo na si ajabu umeishia la saba alafu leo unashauri watu wa digiriii
ndugu yenu si anajisifia ana pesa za ndani za kujengea jamaniHuo mradi unahitaji gharama kubwa za pesa usione ni rahisi kihivyo