Mada ilikuwa nzuri ya kuelimishana ila kwa kuwa jamvi hili kuna vichwa vingi vinavyowaza tofauti ndo maana michango mingine hakutoa majibu wala viongozi uelewa. Hoja km have hizi zikichangiwa kwa busara tutajikuta tunaondoka tofauti kubwa za kiimani tulizonazo, hata wale wanaodhani au...
Unaweza kuchunguza makinikia? Huku bongo tunahitaji mtu kwenye hii Delta kwani kuna hela kibao za kugawana raia. Tatizo wataalamu na wachunguzi. Karibu!
Mtoa madam naomba umetengenezwa, kwangu mambo mango umetia chumvi. Mango duals la Katiba na muda wa askofu Kuala madarakani haikuwa sehemu ya agenda isitoshe kanuni ya KKKT SMP unaweza vizuri juu ya jambo hilo.
Ni kweli hupaswi kujisifu kwa kushinda Jimbo wakati huo huo unaiacha serikali ya CCM madarakani. Kuna majimbo mengi sana yaliyokuwa na wabunge wa upinzani lakini kasi ya maendeleo ikadhoofishwa na utawala uliopo.
TUTAMBUE KUENDELEA KUBAKI CCM MADARAKANI HATUKOMOKI CHADEMA TU BALI NI TUNAKOMOKA...
Dada umefanya vizuri ukaweka ratiba inayoonesha kuwa CUF watakuwa Maji Coast (Kwa Maiko) na CCM watakuwa Magomeni B (Mwembe Mkavu) CDM wao wametumia uwanja upi kati ya hizo mbili?
Kwa pesa hiyo ndugu inatosha biashara ya dagaa, mayai ya kuchemsha, maandazi, chapati na vitu vingine vidogo dogo kama hivyo. si unajua hela ya Tz na gharama za vitu zilivyo juu hasa baada ya umeme kuwa juu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.