Recent content by Balozi wenu

  1. B

    Picha: Muvi bora zilizotoka mwaka 2018; umeangalia zipi?

    Siku hizi ma movies haya ya hollywood computer imekua nyingi mno hazina uhalisia kabisa.
  2. B

    Huyu Housegirl anafaa sana ila sitaki aendelee kufanya kazi hapa home. Mke wangu ni tufani

    Kama wewe ni muislam .Muolee mke mwenza na raha zaidi huyo housegirl.Trust wamawake wa kiislam dawa yao ametuletea muungu muumba .Aruke atoje ukimuolea mke mwenza anakua mdogo kama kidonge cha pilitoni
  3. B

    Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi "Sugu" na Emmanuel Masonga waachiwa huru baada ya kutumikia kifungo

    No wewe ni CCM mchafu tu, Hakuna sheria inavunja ni hujma za kisiasa hivi huoni vikosi na CCM wakivunja sheria kipindi cha uchaguzi? Wewe ni mshenzi tu baba yako alikua kigogo wa CCm so utapigania tii sheria wewe ni kama lemutuz wazazi wenu wamesha set maisha kwa ajili yenu so all the day...
  4. B

    Rais Magufuli: Mkisema mnaomba chakula mnakufa, nitasema tu kufa. Hakuna chakula cha bure

    Dah hasa Tanganyika kuna miCCM vibaya roho mbaya kinoma yaaani ina support tu .Allah bless Zanzibar yetu hatujafika huku Alhamdulilah
  5. B

    Those behind this will pay the price

    You are very wrong my friend. We never exchange power peacefuly. Security forces are being used to ridge the election.It is totally bullshit to believe that we Tanzanian elect our leaders in free and fair election.We don't have choice we have to accept the results as they are ready to kill...
  6. B

    Tusibeze, maandamano yapo ila kufanikiwa au kutofanikiwa kwake inategemea Polisi imejipangaje

    Munakumbuka ni lahaja ya unguja mjini na ndio kiswahili fasaha
  7. B

    Tusibeze, maandamano yapo ila kufanikiwa au kutofanikiwa kwake inategemea Polisi imejipangaje

    Ndugu zangu Wazanzibari,Katu tusije kuandamana tarehe 26-04-2018.Hata kama Mangi Kimambi ana hoja za msingi kiukweli kwetu sisi hazifanyi kazi.Hata hivyo Zanzibar tumeanza harakati za kudai demokrasia ya kweli tangia 1995 ila Watanganyika hawakuwahi kutuunga mkono hata mara moja . 1.Tusisahau...
  8. B

    Nani wa kutoa majibu kati ya CAG na Wizara ya fedha?

    Yeye anahoji kwa kudai nyaraka ,kama hukupeleka nyaraka hawezi kusikiliza poroho.Tatizo lako mtoa mada unadhan CAG anafanya ukaguzi wa duka .
  9. B

    Siri 6 za Ali Kiba kumuoa Mkenya hizi hapa

    Amina ni mzuri na nasikia mwenye dini ila Ali Kiba anafanya mambo ya Kikafiri ,mziki ni kharamu mutlaq kwa dini ya kiislam .Amina sijui umeona nini ila umepotea
  10. B

    Kwanini Watanganyika hawawachukii watawala wao(Wajerumani na waengereza)

    Kwanini wazenji wapandikizwe chuki kuwachukui waarabu?
  11. B

    1996 Arsene Wenger alipoanza kuifindisha ulikuwa na umri gani?

    No decoder needed only antennae una enjoy
  12. B

    Kwanini Watanganyika hawawachukii watawala wao(Wajerumani na waengereza)

    Issue ni kwamba kwanini watanganyika wanaleta kasumba wazanzibari wawachukue waarabu
Back
Top Bottom