Thesis
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 1,805
- 3,119
Nadhani unamtafuta CAG ili kumuangushia jumba bovuKweli atusaidie Shark.
Yaani pamoja na yote haya hujagundua kuwa nahoji utimamu wa prof Assad? Tulichotofautiana baada ya kuusoma uk 34, maana kabla ya kuusoma nilikuwa upande wa hoja za zitto, ni kuwa wewe unaendeleza hoja ya zitto kutaka serikali ieleze ziliko 1.5, nao wamejibu kizembe sana.
Mimi nahoji kazi ya cag, mbona kuna mengi tu kahoji? Ilikuwaje hili akakaa kimya? Alidhani hatutaipata kazi yake?
Kwa maneno mengine, amekaa kimya kwa kuwa anajua si serikali wala sisi wenye serikali hatuna cha kumfanya. Ana kiburi tu. Ametumia mabilioni kutuletea kazi incomplete.
Why this?