Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,974
- 13,614
Mimi nilikuwa na 21 wakati huo. Nilikuwa mshabiki wa New Castle United ya kina Ginola , Asprila na Kaka mkuu Allan sheareh.
Ila nilikuwa na mahaba na Arsenal baada ya le professor Wenger kumleta Kanu pale Highbury. Na Kanu ndio mtu aliyeitangaza sana epl huku Africa.
Mimi nilikuwa na 21yrs Wewe ulikuwa miaka mingapi?
Ila nilikuwa na mahaba na Arsenal baada ya le professor Wenger kumleta Kanu pale Highbury. Na Kanu ndio mtu aliyeitangaza sana epl huku Africa.
Mimi nilikuwa na 21yrs Wewe ulikuwa miaka mingapi?