Nendeni mkalewe tena wewe na rafiki yako na wake zenu then rudieni kamchezo kenu. So kila ukitaka papuchi ya huyo mtusi wewe andaa hela ya pombe tu kwa nyinyi wote.
Je huyo mgonjwa ameenda kupimwa kiwango cha uric acid kwenye damu? Kama ni kapimwa na kugundulika kuwa kiwango hicho cha uric acid kiko juu basi ale maparachichi kwa sana kwa sababu hata mimi yamenisaidia sana mpaka sasa napiga nyama kama kawa
Kipindi mzungu yupo hapo TANZANITEONE mambo yalikuwa poa sana kila mtu alipata riziki yake bila kele wala migongano. Lakini walipokuja hawa wanaoitwa wawekezaji wazawa au wanyanyasaji wazawa mambo yamekuwa ovyo sana. Mimi nilifanya kazi hapo kwa kipindi kirefu kiasi so najua kila kinachoendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.