Recent content by balale

  1. B

    Mwenye mikataba ya ajira ya madereva wa CHADEMA atuwekee

    Ubongo wa panya ni umempa Sifa.Maana panya ni mjanja zaidi.Sema ubongo wake ni mithili ya Nyumbu.Ni kiumbe mjinga kupita vyote
  2. B

    DAY 2: Updates za mgomo wa madereva wa magari Tanzania - Mei 5, 2015

    Tuletee kinachojiri huko kamanda.Achana na huyo vuvuzela asiyejitambua.
  3. B

    Ofa ya fasta, Kware wa wik7 @ 5500

    Unawezaje kugundua kware jike na dume.Pia naomba msaada kujua kware anyetaga na asiyetaga utawatofautishaje.Ahsante
  4. B

    UPDATES: Mgomo wa Madereva - Maeneo mengi nchini usafiri ni shida! Mei 04, 2015

    Yaani wewe ni bonge la mshamba yaani hivyo vigari vya mkopo ndiyo vinawapa jeuri.We kilaza unajua ni kodi zetu sisi wavuja jasho ndizo zinafanya wewe kuona million ni pesa ndogo?!
  5. B

    Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

    Unawezaje kumshabikia na kumzungumzia mwizi!?.Kuliko huyo jamaa bora hata ya Wasira kwa ma CCM.
  6. B

    Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

    Uliyeleta mada ni mkereketwa wa ACT.Kwa taarifa yako,Ukawa haiitaji mtu anayeitwa mamvi.Kumkubali mtu mzee huyu ndani ya ukawa ni kama kuchambia mfuko wa Rambo.
  7. B

    Papa ateua askofu mpya wa Singida

    Bora kuabudu sanamu tena si bikira maria tu! hata ya ng'ombe kuliko ya hao wachungaji wenu kina Gwajima wachumia tumbo ,nyie mwafa masikini.
  8. B

    Pombe ina faida gani kwa Mlevi?

    Asilimia kubwa ya walevi baada ya pombe kuisha kichwani,hujuta na kusema sinywi tena na leo ndiyo mwisho.
  9. B

    Itakuwa ngumu kuacha uchepukaji katika ndoa yangu

    Mfanye ajue kuwa unachepuka kutafuta unavyokosa kwake.Ila na wewe siku hizi una uwezo wa kwenda vidato vingapi kwake Je ni kama zamani?.
  10. B

    Mdahalo JF Zitto na Mbowe kukata mzizi wa fitina kuhusu usaliti wa Zitto

    Zito hawezi thubutu wala kukubali kukutanishwa Mbowe.Anajua ACT ndiyo itakuwa mwisho wake.Mbowe alimvua nguo Kigoma kwa jinsi alivyomlea kwa wanokumbuka Zito alijiuma kujibu.Pia hakuna sababu ya mjadala maana na vichaa wa milembe peke yao wasiojua kuwa Dogo ni msaliti
  11. B

    Chadema ipo kazini kuliko ujuavyo

    Hivi nyie watu wa CCM B (ACT wasaliti) mnafikiri watanzania bado wengi ni wajinga kiasi cha kuwaaminsha na huyo zito wenu kuwa nyie ni chama pinzani?.Ndani ya siku 45 zijazo mtavuliwa nguo peupeee!!
  12. B

    Afrika Kusini Vs Afrika

    Kwa nchi kama ya kwetu hatuna uwezo wa kufanya kama wanigeria.Sisi hawa makaburu ndiyo wameshika uchumi wa Tz.Hivyo ukisema fyoko nchi itayumba.Nigeria ni tofauti yapo mataifa mengi yamewekeza pale.Hata hivyo kama ni uhasama uwe kwa hao weusi wenzetu maana ndiyo wauaji wa ndugu zetu kule kwao.
  13. B

    Nipo South Africa hapa Hakukaliki

    Ni wakati wa kumpa support abubakari shakeu huko Nigeria atukomeshee hawa vilaza wa south,wasiojua hata historia ya kupata Uhuru wa nchi yao.Ni hao waliotufanya hadi leo watanzania tuwe maskini kwa ajili ya kitu kinaitwa ukombozi kusini mwa Africa.
  14. B

    Mambo usiyoyajua kuhusu Nyumbu

    JFK kkkkkkkkmktklkkjojr
Back
Top Bottom