Papa ateua askofu mpya wa Singida

Papa ateua askofu mpya wa Singida

Kwani Papa kateuliwa na nani ? Si mwanadamu kama wewe tu .

Sayaka, elimu yako ni ipi? From our education background, we stand a better chance to argue! Kama ni mfuasi wa hao self proclaimed bishops, we can not argue philosophically!
 
Gloria in excels Deo, hatimae Jimbo langu mama limepata Mchungaji, nilibatizwa kanisa la Moyo mtakatifu wa Yesu na Askofu Bernard Mabula(R.I.P) kwenya kanisa bibi enzi hizoo! Na baadae kurudi Singida baada ya masomo na kumkuta Mhashamu Askofu Desderius Rwoma. Duu sasa niko jimbo la Mbulu, hatuna Askofu, baada ya Askofu wetu Mhashamu Askofu Beatus Kinyaiya kuteuliwa kuwa Askofu wa jimbo kuu jipwa la Dodoma. Tunaomba mtuombe na sisi wa Jimbo la Mbulu tupate mchungaji Mkuu, yaani Askofu Mpya atokaye kwa Mungu. Laudetur Jesus Christus..!
 
Afadhali Papa ametuona na sisi wa kusini, wakaskazini walishazidi kuteuliwa bado Pwani..

Mkuu kwa uelewa wangu watu wa kaskazni ndio wana wito mkubwa kutaka kuwa mapadri au maaskofu kwa kiwango kikubwa kuliko sehemu yoyote hapa Tanzania,ndio maana unakuta mapadri wengi wanatoka sehemu hzo kwa hyo sio kama papa anaangalia kama anatoka kusin au kaskazn,yeye anachagua kutokana na sifa na utumishi wa mhusika kwa kanisa.
 
Gloria in excels Deo, hatimae Jimbo langu mama limepata Mchungaji, nilibatizwa kanisa la Moyo mtakatifu wa Yesu na Askofu Bernard Mabula(R.I.P) kwenya kanisa bibi enzi hizoo! Na baadae kurudi Singida baada ya masomo na kumkuta Mhashamu Askofu Desderius Rwoma. Duu sasa niko jimbo la Mbulu, hatuna Askofu, baada ya Askofu wetu Mhashamu Askofu Beatus Kinyaiya kuteuliwa kuwa Askofu wa jimbo kuu jipwa la Dodoma. Tunaomba mtuombe na sisi wa Jimbo la Mbulu tupate mchungaji Mkuu, yaani Askofu Mpya atokaye kwa Mungu. Laudetur Jesus Christus..!

Muendelee kuomba Mungu atawapatia mchungaji.
 
hongereni sana jimbo la singida.nilitumikia kanisa hilo nikiwa std2-7 na vigango vyake kama kimbwi 1997-2002
 
Kumbe Rais wetu bado wigo wa uteuzi ni mdogo...tazama Papa anawajua Mapadri karibu wote na Maaskofu wote wa Kanisa lake...
 
Gloria in excels Deo, hatimae Jimbo langu mama limepata Mchungaji, nilibatizwa kanisa la Moyo mtakatifu wa Yesu na Askofu Bernard Mabula(R.I.P) kwenya kanisa bibi enzi hizoo! Na baadae kurudi Singida baada ya masomo na kumkuta Mhashamu Askofu Desderius Rwoma. Duu sasa niko jimbo la Mbulu, hatuna Askofu, baada ya Askofu wetu Mhashamu Askofu Beatus Kinyaiya kuteuliwa kuwa Askofu wa jimbo kuu jipwa la Dodoma. Tunaomba mtuombe na sisi wa Jimbo la Mbulu tupate mchungaji Mkuu, yaani Askofu Mpya atokaye kwa Mungu. Laudetur Jesus Christus..!

Mtapata tu kwa msaada wa Mungu. Ila Dodoma tunabahati kupata maaskofu wa kutoka Jimbo la Mburu.
 
Kwa kweli Mungu ni mwema. Huyu jamaa ni very committed nataman hata viongozi wetu wa kisiasa wangekuwa wanapatikana kwa kupitia mchakato kama wa kanisa nchi yetu ingekuwa mbali sana kimaendeleo lkn kwa bahati mbaya Tanzania sifa kubwa na ya kwanza ya kuwa kiongozi wa uma lazima uwe na pesa.
 
Mkuu kwa uelewa wangu watu wa kaskazni ndio wana wito mkubwa kutaka kuwa mapadri au maaskofu kwa kiwango kikubwa kuliko sehemu yoyote hapa Tanzania,ndio maana unakuta mapadri wengi wanatoka sehemu hzo kwa hyo sio kama papa anaangalia kama anatoka kusin au kaskazn,yeye anachagua kutokana na sifa na utumishi wa mhusika kwa kanisa.

Naungana na ww mkuu!! Fr Mapunda anastahili kabisa kuwa askofu wa Singida. Ni chaguo sahihi kabisa, Mungu haangaliii kama binadamu waangaliavyo mkuu.
 
Gwajima angekuwa kama anavyo jinasibisha asinge enda kulazwa tmj acha ubabaishaji.
 
Sayaka, elimu yako ni ipi? From our education background, we stand a better chance to argue! Kama ni mfuasi wa hao self proclaimed bishops, we can not argue philosophically!

Elimu yangu ni la saba , ma swali langu unaongelea ubosi kwa papa au unaongelea kazi alizotenda Yesu ? Mimi sio mfuasi wa Gwajima ila nasoma sana biblia na roho mtakatifu huniongoza katika hili na haihusiani na elimu kama ulonayo wewe elimu ya darasani na ya Mungu ni tofauti, u may win kwenye hiyo elimu yako ya darasani lakini kwa elimu ya Mungu haumo ndo maana u dont know what ur talking about, nionyeshe papa akiombea wagonjwa, akikemea pepo kama Yesu alivyofanya, watu wa dini wamekuwa wakishabikia bila kujua wanajifunza nini kupitia neno la Mungu, namponda maana hafanyi kazi iloandikwa kwenye biblia na kukalia kukremisha watu sala huku wana mabalaa na mikosi, watu wamerogwa hawafundishwi namna ya kujikwamua, ntamfagiliaje na hata kwa Mungu ataulizwa kawasaidiaje wakatoliki maana kwenye biblia hakuna neno rozali, wala kuambiwa kuomba kupitia mama maria, atajibu kwa Mungu kwa kuwapotosha watu kupomokea sanamu wakati imeandikwa usiabudu sanamu wala mfano wa kitu chochote kifananacho na Mungu. Atajibu hayo
 
Bora kuabudu sanamu tena si bikira maria tu! hata ya ng'ombe kuliko ya hao wachungaji wenu kina Gwajima wachumia tumbo ,nyie mwafa masikini.
 
Elimu yangu ni la saba , ma swali langu unaongelea ubosi kwa papa au unaongelea kazi alizotenda Yesu ? Mimi sio mfuasi wa Gwajima ila nasoma sana biblia na roho mtakatifu huniongoza katika hili na haihusiani na elimu kama ulonayo wewe elimu ya darasani na ya Mungu ni tofauti, u may win kwenye hiyo elimu yako ya darasani lakini kwa elimu ya Mungu haumo ndo maana u dont know what ur talking about, nionyeshe papa akiombea wagonjwa, akikemea pepo kama Yesu alivyofanya, watu wa dini wamekuwa wakishabikia bila kujua wanajifunza nini kupitia neno la Mungu, namponda maana hafanyi kazi iloandikwa kwenye biblia na kukalia kukremisha watu sala huku wana mabalaa na mikosi, watu wamerogwa hawafundishwi namna ya kujikwamua, ntamfagiliaje na hata kwa Mungu ataulizwa kawasaidiaje wakatoliki maana kwenye biblia hakuna neno rozali, wala kuambiwa kuomba kupitia mama maria, atajibu kwa Mungu kwa kuwapotosha watu kupomokea sanamu wakati imeandikwa usiabudu sanamu wala mfano wa kitu chochote kifananacho na Mungu. Atajibu hayo
Ficha upumbavu wako basi!
 
Bora kuabudu sanamu tena si bikira maria tu! hata ya ng'ombe kuliko ya hao wachungaji wenu kina Gwajima wachumia tumbo ,nyie mwafa masikini.

Ndo maana mawazo yako ya hao unaowaabudu , jitafakari tu
 
Back
Top Bottom