Recent content by Bakoba42

  1. B

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Magari mbalimbali mazuri yanayouzwa leo

    Nipe bei kwa zote, yaani used abroad bei gani na Tanzania used bei gani. Asante!
  2. B

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Magari mbalimbali mazuri yanayouzwa leo

    Vp Spacio new model 1490 cc, with body kid inapatikana??
  3. B

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    50 Inch unauzaje??
  4. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mzazi kumpenda zaidi/kumpendela mtoto mmoja. Tupe uzoefu wako

    Kwa research ndogo ukiifanya utagundua yafuatayo:- Kina mama wanaupendo zaidi kwa mtoto mmoja kuliko wengine na huwezi kuwabadilisha hata. Wao humpenda mtoto ambaye ameteseka kumpata katika uzao (yaweza kuwa wakike au Wakiume); ama mtoto ambaye alimpa maumivu sana alipokuwa mdogo, maybe...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

    Mmmh Kivuko sidhani kama kinaweza kulazimika kukata corner. Reasonably, inaweza kuwa kuzidisha uzito na uchakavu wa kivuko....
  6. B

    JamiiForums Tanzania Wanaopinga kuungama dhambi kwa Padri, ndio wapinga Kristo wanaohubiriwa na wasabato na ndio wale wanaosoma maandiko kwa kurukaruka.

    Unasema "Leo hatuna haja ya kuungama kwa Padre kwa sababu tunaye Yesu Kristo kuhani mkuu na mwombezi" Sasa kwanini huwa unaenda kanisani na unasikiliza maubili na mafundisho ya watumishi hata usikae mwenyewe kwako ukaomba peke yako kama unajua na kuamni Yesu Kristo yupo na huitaji kuwategemea...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Je, Papa ndiye mrithi wa mtakatifu Petro?

    Sielewi hapo nini kinakuchanganya... Kutojikweza kwa Petro na mitume wengine ndio ishara ya uimara wa imani yao iliyo kubwa kuliko waumini wengine. Yesu alimteua mwenyewe petro kuwa kiongozi wa wanafunzi wake. Nashangaa wewe unaoji uteuzi wake!! Kutokea kwa mapapa waliofanya makosa au maovu...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Recruitment Portal ya Utumishi ina shida gani?

    Mbona inafunguka fresh tu!![emoji264] Sent using Jamii Forums mobile app
  9. B

    JamiiForums Tanzania TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

    Hii nchi ya ovyo sana maana hapo morogoro ndo vifaa vingi vya kijeshi vimejaa. Wangeshafika hata ndani ya dk 10 maana kila chombo kinachoruka wanakiona kwenye mitambo ya ulinzi. Na ndo maana wanajua exactly eneo ilikotokea ajari ili hali hawajafika. Au wanaficha ukweli fulani, labda.
  10. B

    JamiiForums Tanzania TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

    Mbona chama chako kinapokea ruzuku kubwa kuliko vingine lakini mnakodi chopa nje ya nchi Kweli nyani haoni..........
  11. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je! unawezaje kupata Paid applications za Play store Bure ?

    Mkuu hiyo ndo Norma. Blackmat ina app chache Na za zamani
  12. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji kujua king'amuzi gani kizuri kwa ajili ya Sports Channels

    Ni pm Na mm asee
  13. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Full Makamuzi imeshtukiwa?

    Sio full makamuzi kweli hataaaa!!! I think ni unapewa 1GB per day. Sio utumie zaidi ya hapo wala
  14. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuangalia startime bila kulipia

    Note working. Wewe Uko wapi may be
  15. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni apps gani za android & iphone unazotumia au kujua

    Ttpod for music player with lirics n download from billboard top 100. Hii nzuri jamani try it
Back
Top Bottom