Jinsi ya kuangalia startime bila kulipia

Jinsi ya kuangalia startime bila kulipia

Duh! wabongo noma, mchina akishtukia atapandisha bei, mpaka mtajuta.. teh teh...

Hato pandisha bei ila atabadili tu code...kama dstv wanavyofanya kila baada ya muda hubadili code zao lakini still watu wanazi crack...daaa! Ilinitoka Tshs13,000 kwa jamaa mmoja wa startimes ili aniwekee hizo code nikamwambia anipatie ilikuwa ishu thanks! "WEWE UKIJIDAI UNAMITEGO WENZAKO WANAMBINU, NA MAISHA NDIYO YALIVYO by Displayname, 2008"
 
Code wameziblock jamani hazifanyi...mwenye code nyingine plz!
 
hizo code zime expire.......tupeni zingine.,........halaf kunamtu huku kwetu anaangalia channel za azam kwenye star times cjui code amezitowa wapi me ameninyima ati
 
ingiza 351 nimewaweza leo chanel zote uhuru,mambo znacheza hatari. Kweli mi noma.
 
Habari jmapili wadau..msaada kama naweza elekezwa jinsi ya kuserch na kupata channel hizo. Samahani kama nitamkwaza MTU.Nawasilisha.
 
Mbona Nimeshindwa mie. Nisaidien. Inaniandikio 0 received channel!
 
Back
Top Bottom