Habari wanaJF, leo nimeamua kuuliza baada ya siku kama mbili zilizopita kujiunga full makamuzi na kupata huduma kwa muda kisha huduma inasitishwa.
- Nilijiunga kwa smart phone, afu nafanya tathering ila kabla hata sijashusha mizigo ya maana, huduma inasitishwa.
- Custumer care wanasema wanashughulikia tatizo lakini hakuna chochote kinachosolviwa.
- SWALI, JE WAMEWEKA LIMITATION AU NI KIPI HASA KINACHOSABABISHA HIVO? AU MCHEZO WA TATHERING WANAUZUIA KWA STAILI HIYO?
- KUWA MSTAARABU KWA KUTOTUMIA LUGHA ZA MATUSI, KAMA HUJISKII KUKOMENT, NI BORA UKAHAMA PAGE KISTAARABU TU.