Recent content by bahati30

  1. bahati30

    Kwa wadada: Huwa mnafanyaje mpenzi wako akiwa na hii tabia?

    Watu wake wa pembeni wafanye nini? ya kwao yamewashinda watayaweza ya hawa viumbe? cha msingi wapambane na hali zao. Na huyu mwanamke nae ni kihiyo kabisa kwa sababu huwezi kumwacha mwenzio kwa sababu kama hiyo. huyo ana lake jambo.
  2. bahati30

    Baba mtarajiwa, nini natakiwa kufanya?

    Epuka mpango ya kando (MYK)
  3. bahati30

    Ex wangu ananinyanyasa kisa kapata kazi

    We jamaa hapo umenyanyasika kivipi?
  4. bahati30

    Nimeambiwa ninenepe kidogo ili anikubalie. Naombeni mbinu za kuongeza mwili

    Pamoja na ushauri uliopatiwa na wadau usisahau kumwambia aondoe hofu ya kimbunga kwasabu kwa sasa hali ni shwari (kimeyeyuka). Kazi iendelee
  5. bahati30

    Vijana umri unaenda sasa muanze kuwa serious. Shauri yenu, mtakuja kutulaumu bure

    Unaishi dunia gani rafiki? Una familia? Je ulishawahi kupitia hiyo hali ya mtoa uzi? USIKURUPUKE. Q.E.D
  6. bahati30

    Vijana umri unaenda sasa muanze kuwa serious. Shauri yenu, mtakuja kutulaumu bure

    We mujamaa Bado msela Nini!!.... Kila familia ina utaratibu wake wa kula.
  7. bahati30

    Nataka kumuoa huyu single mother

    Sio kuliwazwa tu ila jamaa anasubiriwa kwenye angle ambayo akishakamilisha zoezi zima la kuoa ndio ataelewa maana "oo..namfanyia visa hafanyi chochote"
  8. bahati30

    Nimepigwa chini na michepuko miwili kwa mpigo

    Hahaha.....hayo nayo ni mafanikio. Tunapunguza gharama za uendeshaji.
  9. bahati30

    Hivi Pisi nyembamba Zina nini lakini maana mimi Sielewi..

    Eti kuku kakwepa mwewe!!!!!.....
  10. bahati30

    Huyu kuku anaumwa ugonjwa gani?

    Tafuta tylosin powder(kuku)
  11. bahati30

    Nimerudi nimekuta Jirani yangu (Mke wa mtu) kanifulia nguo

    Hahaha.......za chui chui tena!!!!!!...
Back
Top Bottom