Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,917
- 6,002
Sure!Murder kwa sababu
A) hiyo bastola kashikishwa na muuaji kwa sababu ni vigumu mtu aliyeanguka na aliyekufa kiendelea kushikilia silaha namna ile.
B) ni ngumu mtu aliyekufa kuendelea kushikilia sigara mkononi mwake hivyo kashikishwa baada ya kuuliwa.
C) alipigwa risasi iliyopiga kichwani na kutoboa kichwa hadi kusababisha damu kurukia ukutani.