Recent content by Bagwanji

  1. B

    Jeshi la Syria lakuta mamia ya mabomu yaliyotengenezwa Israel Ghouta mashariki

    washenzi wale yaani nikikuta muisraeli anapigana na nyoka ntamsaidia nyoka
  2. B

    Je, ni kweli mji wa Mecca upo katikati ya dunia?

    Qu'ran ni kitabu kisokua na shaka ndani yake usipende kuongea vitu usivyovijua ,ungekua unaijua bible usingekua unabebelea kila jumapili bible,halafu ukifika huko unasoma vimstari vichache jumapili imekwisha mpaka jumapili nyingine
  3. B

    BAKWATA na Waislamu wengine, kila kitu kinachofanywa na Serikali kiko sawa kwenu?

    m masheikh wanavyobambikiziwa kesi za ugaidi hua mnashangilia na kutoa maneno ya kebehi kwao nyie endeleeni na mambo yenu msituhusishe
  4. B

    BAKWATA na Waislamu wengine, kila kitu kinachofanywa na Serikali kiko sawa kwenu?

    upo sawa kabisa masheikh wangapi wamedhalilishwa waislam wangapi wamedhalilishwa wao walikaa kimya iweje wao wakisema kitu sisi tuwaunge mkono, mbona wao hua hawatuungi mkono
  5. B

    Mchango wa dini katika kutetea haki za kiraia: Mohamed Said yeye ni kushutumu Wakristo

    kwani huko europe hakuna waislam au umekariri wazungu wote ni wakiristo
  6. B

    Mchango wa dini katika kutetea haki za kiraia: Mohamed Said yeye ni kushutumu Wakristo

    ww unadhani kua karibu na wazungu ndo mkiristo safi au kua karibu na mwarabu ndo kua muislam safi?europe kuna waislam pia hata arabuni wakirisito wapo pia kwahyo sioni ajabu mtu kupata hifadhi sehemu yoyote anayopenda na atapata amani ya nafsi
  7. B

    KAHAMA: Zaidi ya wafanyakazi 1,300 wakosa ajira baada ya mgodi wa Buzwagi kufungwa rasmi

    hakuna kitu kinachoitwa gram/kg bali nachojua ni gm/ton au ppm za dhahabu .ukisema kwamba kwenye kila kilogram moja ya ore una pata 1gm za dhahabu inamaana kwenye 1 ton ya ore unapata 1kg za dhahabu ni kitu ambacho hakipo.ungesema 1gm/ton ungeeleweka kama mtu hujui mambo ya madini bora mkae kimya
  8. B

    Chanzo cha mapenzi ya jinsia moja Afrika Mashariki

    kwahiyo wazungu wameutolea mombasa huo umaluuni?Israel na Vatican ndio vitovu km hujui huo ndo ukweli wenyewe kubali ukatae
  9. B

    General John Tshibangu, mikononi mwa vyombo vya sheria

    Huyu mbona kama yule jamaa wa M23 au macho yangu
  10. B

    Chanzo cha mapenzi ya jinsia moja Afrika Mashariki

    Sisi hatuwafuati waarabu bali tunafuata dini ya kweli sijui nyie mnaofuata wazungu kila mnaolewa tena mijidume kabisa kama yule jamaa wa arusha.
  11. B

    Mrejesho: Fumanizi lilivyofanyika na nina ya kusema hapa

    wee jamaa muongo sana simu ya meneja wa hotel uliipata wapi wakati ulipanda basi na kushuka?
  12. B

    Bila kujali upepo ulivyo, eti nimpe laki tatu

    usimuige tembo ku......a utachanika msamba sasa kama umechukua mwanamke si size yako unalialia nn tafuta wa level zako usikimbilie vikubwa utakua chizi shauri yako.
  13. B

    Bila kujali upepo ulivyo, eti nimpe laki tatu

    Acha ubakhiri kijana utasaidiwa uenze kulialia hapa
Back
Top Bottom