Recent content by Bagenisb

  1. Bagenisb

    GIS short course

    Ingia kwenye website ya Chuo kikuu cha Ardhi wametangaza itaanza tarehe 24 June 16
  2. Bagenisb

    Nauza camera ya canon bei chee

    Mbona namba uliyotoa haipatikani, na upo wapi? Ni text kwenye 0714720721
  3. Bagenisb

    Humphrey Polepole ni nani?

    Sifa zote mlizompa hata mimi nawaunga mkono. Zaidi ya Ulinzi anaopewa na Mungu, tumuombee aishi maisha marefu aje awe SHUJAA wa Taifa hili
  4. Bagenisb

    Mapishi - program ya simu

    Akhsante sana
  5. Bagenisb

    Laptop inauzwa, Asus K53S Core i5

    Kwa kweli kama ni i5, kwa 600 ni bei nzuri endapo itakua imetumika kwa miezi hiyo sita. Swali ni je, imekumbwa na tatizo gani hadi umeamua kuiuza?
  6. Bagenisb

    Upatikanaji wa mashine za kuprint Tshirt (Heat Press Machine)

    Mimi nataka ya kuprint jezi. Msaada
  7. Bagenisb

    Digital print shop

    Nataka printer ya jezi
  8. Bagenisb

    Ombi kwa ITV, tunaomba mdahalo urudiwe

    Uwekwe online wenye nafasi tuu download
  9. Bagenisb

    Gps for mobile phones

    Hueleweki ila chukua hiyo itakusaidia https://play.google.com/store/apps/details?id=net.psyberia.offlinemaps
  10. Bagenisb

    Nahitaji machine ya ku-print t-shirts

    Kwa yeyote anayeweza kuniunganisha au kunisaidia kupata machine hii naomba msaada wake. kwa mawasiliano 0769814778
  11. Bagenisb

    Msaada :TECNO P 3 nikipigiwa eti Namba Busy!!!!

    nenda kwenye security then factor data reset. ila jiandae ku download upya application ulizokua ume download awali
  12. Bagenisb

    Msaada juu ya kutambua ipad nzuri yenye quality ya juu na duka linalouza kwa bei rahisi hapa dar

    Tablet ambazo ni user-friendly ni zenye Android Bei yake nzuri kuanzia laki 3 na 20 hadi laki 4. Zina 3G, piga simu camera. Anayetaka anicheki kwa 0769814778
  13. Bagenisb

    LAPF VS PPF: Mfuko upi una benefits nzuri?

    Gepf ndio kila kitu
Back
Top Bottom