Wakuu,
Nawasalimu naamini hapa jamii forum ni mahali amabapo naweza kupata information ya kutosha. Kama kichwa cha habari hapo juu nahitaji mashine ya kuprint Tshirt ambayo inatumia karatasi. Kwa maana ya transfer paper na sublimation INK. Pia ningependa kujua kujua upatikanaji wa wino na printer ipi nzuri inayoweza kuprint A4 na A3.
Mahitaji ni kama ifuatavyo:-
1. One heavy duty heat press machine
2. Ink JET PRINTER
3. Upatikanaji was transfer papers both A4 na A3
4. Computerized Embroidery Machine ( Especially Brother)
Mwenye Idea ya upatikanaji wa hivo vitu kwa hapa Tanzania
Nawasalimu naamini hapa jamii forum ni mahali amabapo naweza kupata information ya kutosha. Kama kichwa cha habari hapo juu nahitaji mashine ya kuprint Tshirt ambayo inatumia karatasi. Kwa maana ya transfer paper na sublimation INK. Pia ningependa kujua kujua upatikanaji wa wino na printer ipi nzuri inayoweza kuprint A4 na A3.
Mahitaji ni kama ifuatavyo:-
1. One heavy duty heat press machine
2. Ink JET PRINTER
3. Upatikanaji was transfer papers both A4 na A3
4. Computerized Embroidery Machine ( Especially Brother)
Mwenye Idea ya upatikanaji wa hivo vitu kwa hapa Tanzania