nilipomwambia anipe siku mbli ni kuwa hata mimi nilikuwa na tatizo kama hilo. niliflashi simu ya mtu nikapata hilo tatizo. mimi sikuwa kwenye blacklist ila ilikuwa bize.mwambie afute namba alizo save kwenye orodha ya waliozuiliwa "blacklist numbers"
mwambie afute namba alizo save kwenye orodha ya waliozuiliwa "blacklist numbers"
Ipigize ukutani itashtuka
N.B tuache mizaa kwenye vitu vya msingi