Sawa na JK aanze kuulizia njia ya kwenda ikulu leo!kwanini umesema hivyo?
Fanya ufanyalo lkn usije ukajiingiza lapf nenda nssf haraka. Lapf yenye makao makuu dodoma ni janga la taifa
Sawa na JK aanze kuulizia njia ya kwenda ikulu leo!
kifupi hiyo ID yako hakuja from no where, started somewhere, with a concrete reasons!
Ndugu yangu huyo mama wa SSRA ni janga kuliko majanga yote niliyopata kuyashuhudia katika maisha yangu, huu ni mwaka wasita kama sijakosea tangu taasisi hiyo ianze, sijakiona walichofanya zaidi ya kuanzisha zogo Bungeni juu ya Fao la kujitoa, naona hicho ndicho waliona ni changamoto kubwa, wakaacha mambo muhimu ya kustanderdise ffomula za Mafao ya wastaafu.Hata LAPF wanalo fao la matibabu, na formula Yao ya kukokotoa ni nzuri kuliko NSSF. Sema kiukweli PPF kwa sasa ni janga. Nasikia eti wana fight Regulator wao alazimishe mifuko yote iwe na formula moja. Huyo mama naye ni majanga
Nssf bomba tena sana sana lile fao lao la matibbabu kwa wanachama wake.
Kama mifuko yote inakuwa na formular moja,basi ni bora itumie formular ya PSPF.
Ndugu yangu huyo mama wa SSRA ni janga kuliko majanga yote niliyopata kuyashuhudia katika maisha yangu, huu ni mwaka wasita kama sijakosea tangu taasisi hiyo ianze, sijakiona walichofanya zaidi ya kuanzisha zogo Bungeni juu ya Fao la kujitoa, naona hicho ndicho waliona ni changamoto kubwa, wakaacha mambo muhimu ya kustanderdise ffomula za Mafao ya wastaafu.
Mifuko yote ni noma isipokuwa PSPF pekee ndo wana fomula nzuri na inatekelezeka, ingawa nao wamewasahau wastaafu wa siku nyingi wenye vipensheni vya sh. 20,000.00 kwa mwezi.