Recent content by Badourah

  1. B

    Walioongoza mitihani ya Darasa la saba hawa hapa!

    Hiyo shule ilishawahi kuwa na kashfa ya kuwa na mitihani kabla haijatolewa rasmi. Kwa hiyo sioni ajabu ikiwa wanafunzi wake wote watafaulu. Wajinga ndio waliwao. Hao hao wagalatia ndio tulioona wakiingamiza hii nchi toka ilipopata madaraka, wameifanya imekuwa maskini wa mwisho duniani...
  2. B

    Attention: Kuwa makini na member huyu

    JF hakuna hekima wala busara. Moderators wamepitwa na wakati. Mambo ya ban na sensor za maandiko ni ya zama za kiza na udikteta, zama za nyerere. Hizi ni zama za dot com na vidole (digital) naona kupigana ban ni ujinga usio mfano. Kuna nini cha kuficha au kujificha kwenye mtandao zama hizi...
  3. B

    'Mwanajeshi' aliyepiga picha na Lema afungwa jela miaka minne

    Magwanda wanapenda jela hata lema si alijipeleka mwenyewe!
  4. B

    'Mwanajeshi' aliyepiga picha na Lema afungwa jela miaka minne

    Amekiri makosa aliposomewa, hakuna kesi ukisha kiti makosa, ni kusomewa hukumu tu. Na ndivyo ilivyokuwa.
  5. B

    Pendekezo: Julius Nyerere avuliwe jina la Baba wa Taifa

    Nna uhakika hatokuwa na jibu.
  6. B

    Pendekezo: Julius Nyerere avuliwe jina la Baba wa Taifa

    Baba asiyejuwa kulea! Kawaacha "watoto" wake wizi wa kutupwa na mali alikuwa nazo amezikalia. Huyo ni baaa si baba.
  7. B

    Pendekezo: Julius Nyerere avuliwe jina la Baba wa Taifa

    Naunga mkono hoja mia kwa mia, hata Bibilia inakataza usimwite mtu "baba". Huyo Nyerere kama ni "baba" basi hakujuwa kulea wanae, kawawacha masikini hoi bin taabani, benki kuu wameirithi imechomwa moto na. Huyo labda ni baaa.
  8. B

    Juu ya tuhuma kwa Zitto na kundi lake kutoka kwa Mamuya...

    unaongelea Kikwete kama vile unaona kitu kibaya kutoka kwake. Kuna Rais wa Tanzania aliyeleta maendeleo ya muda mfupi zaidi ya Kikwete? Kuanzia elimu, siasa safi na uongozi bora? Licha ya afya, kilimo, utalii na nyanja nyingi nyinginezo zimepiga hatua kubwa kuliko awamu zote zilizopita kwa...
  9. B

    Juu ya tuhuma kwa Zitto na kundi lake kutoka kwa Mamuya...

    kuna chama kuna uozo?
  10. B

    J.K akosa mradi ya kuzindua Urambo, Tabora-Hali Mbaya

    Nikisema Tanzania Mungu katujaalia Ardhi safi tunayoweza kuilima mwaka mzima, madini ya kila aina uijuayo na usiyoijuwa, mito, maziwa, mbuga za wanyama na kila kilicho na neema kasoro akili tu ndio katunyima. Hivi mleta mada nikikwambia wewe ni Mtanzania haswa tena wa kujivunia Utanzania wako...
  11. B

    Hoja ya "Muungano wa Mkataba" ni Muflisi!

    Muungano una faida ipi? Si uvunjwe tu?
  12. B

    Picha ya Watoto wa baba wa taifa na majina yao

    Biblia inasema vingine wewe unataka viroja, Jee huiamini Bibilia inaposema niliyonukuu huko juu? Au hayo si Maneno ya "mungu"?
  13. B

    Fiery Zanzibaris call Mzee Mwanakijiji ‘mwendawazimu chakari'!

    Anesikiliza na kuzitilia maanani fitna na porojo za huyo anaejiita Mzee, anakuwa hajitendei haki.
  14. B

    Rais Kikwete na Mnyika ndani ya nyumba uzinduzi wa Hospitali ya Sinza!

    Na hiyo Serikali ya Korea Kusini ilialikwa na serikali ya chadema, au sio?
Back
Top Bottom