Recent content by BABUU ISAKI RITTE

  1. B

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Mkuu Teacher SAMSUNG S10+ Plus nitaipata kwa bei gani?.
  2. B

    Paul Kimiti akiri kuhujumu Katiba ya Joseph Sinde Warioba

    Yumkini anajuta au anawakumbusha wenzake yeye ndiye aliyekwamisha ule mchakato kwa maslahi ya chama chao, naona anatafuta japo uenyekiti wa bodi.
  3. B

    Paul Kimiti akiri kuhujumu Katiba ya Joseph Sinde Warioba

    Labda inafaa kwa sasa, ndio maana amekiri kosa lake.
  4. B

    PreGE2025 Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana

    We waweza tuma watu waje kukushambulia kwa risasi? utakuwa ni mmojawapo kati ya waliopanga hilo tukio, ndio maana umekimbilia hapa kumtuhumu eti (katengeneza tukio kijinga) itabidi Polisi waanze na wewe.
  5. B

    Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

    Ni kweli hakujenga Magufuli, kwa nini kuna hoja ya pingamizi la kuujenga?.
  6. B

    Kadri unavyochelewa kuoa hili jambo linazidi kutokea kwako

    :AMOGUS::AMOGUS::AMOGUS::AMOGUS::AMOGUS:.
  7. B

    Jirani yangu anajenga ghorofa, ananipa mawazo sana

    Mkuu Arusha kuna viwanja vizuri sana.
Back
Top Bottom