Bold neno "nia njema". Nia njema inakuwa guided na kuhakikisha kuwa Uchaguzi inakuwa huru na haki. Hivyo, kama kitendo chake hakikuwa katika kutekeleza Hilo anakuwa muhalifu kama wahalifu wengine hawana kinga
Mwanafunzi ametekeleza jukumu lake la kulipa Kodi toka akiwa mimba sasa ni jukumu la serikali insyokusanya Kodi hiyo kumsomesha. Kumkopesha ni kwamba amejusonesha while pia serikali imechukua Kodi yake.
Elimu inapaswa kuwa Bure katika levels zote
Vijana wapewe ufadhili na sio mkopo cause amekuwa akichangia Kodi kabla hara ya kuzaliwa ... It's absurd Viongozi wanavyolipana marupurupu ya billions of monies then mwanafunzi akopeshwe
Reasoning ya vijana inakuwa clouded na siasa .... Sasa marekebisho haya jinsi yalivyo (ukiachana na kesi ya mbowe) yanaathari gani negative?
Cause ukweli ni kwamba haikuwa mission yake ila alitumwa then deal na aliyemtuma period!
Unashabikia kupiga tobo na chenga while score board inasoma...
==========
USHUHUDA
======================================================
Banda 300,000
Piglets 80,000
Mpagazi 40,000 per month
Umebaki na 80,000
Nguruwe ni atleast afikishe miezi 6 au 7 ili uweze kuuza na wewe umemnunua akiwa na miezi miwili so inakupa muda wa miezi 4 ili apandishwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.