Mabadiliko ya Sheria Subsection 47A kwenye Criminal Procedure Act (CPA) yanaenda kumuokoa Luteni Urio na Polisi wote wahusika kwenye kesi ya Mbowe

Kwani hii kesi si imeshaanza?kama nna kumbukumbubu vizuri kesi ikishaanza inahukumiwa kwa sheria zilizokuwepo wakati kesi inaanza,na sio sheria mpya iliyotungwa wakati kesi inaendelea,na hii ni hekima ya wazee kuepusha mahakama kugeuzwa kichekesho maana kama tukiamua uhuni wa hivyo ufanyike,imagine kitakachoendelea duniani...mahakama itakuwa kituko na kichekesho..maana mwenye nguvu akiona kesi imembana anaenda kupindua vifungu vimpendelee,si vichekesho?!dont tell me tushafika huko..mleta mada kama ni kweli tumefika hapo embu nihakikishie ili nianze kucheka hapa!!we will be finished as a nation.
 
Tanzania Sheria hurudi nyuma. Ni muhimu uelewe kuwa Tanzania ni taifa lisilo na stands, mfano wa Sharia retrospective ni Ile ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu.
Ku retrospect Sheria ya Bodi ya mikopo ulikuwa udikiteta uliokomaa.
 
Kwani hii kesi si imeshaanza?kama nna kumbukumbubu vizuri kesi ikishaanza inahukumiwa kwa sheria zilizokuwepo wakati kesi inaanza,na sio sheria mpya iliyotungwa wakati kesi inaendelea,na hii ni hekima ya wazee kuepusha mahakama kugeuzwa kichekesho maana kama tukiamua uhuni wa hivyo ufanyike,imagine kitakachoendelea duniani...mahakama itakuwa kituko na kichekesho..maana mwenye nguvu akiona kesi imembana anaenda kupindua vifungu vimpendelee,si vichekesho?!dont tell me tushafika huko..mleta mada kama ni kweli tumefika hapo embu nihakikishie ili nianze kucheka hapa!!we will be finished as a nation.
Mkuu tunaelekea huko ...hii itapitishwa kwa dharura.. Itapelekwa haraka kwa chief Hangaya..
Kutumika sasa hivi italeta aibu.. Ila Serikali haina aibu.. Unaweza shangaa ikatumika mahakama ya rufani kama kesi itafika huko japo pia ni aibu
 
Mimi ni mwana CCM, Lakini kwanini tunabadili sheria kwa kuangalia manufaa ya wachache badala ya manufaa ya Taifa

Kipengele cha Undercover kimeongezwa ghafla kwenye sheria ya Criminal procedure Act Cap 20 section 47 Subsection 47A, Lengo kuwa police waliohusika kwa siri kwenye uchunguzi wa uhalifu wasiwe sehemu ya uhalifu huo

Sheria inapasa iangalie mbele na sio kuangalia matukio ya watu wachache

Mapendekezo yanayopelekwa Bungeni tena kwa tangazo la Bunge la ghafla watu wakatoe maoni kwa siku moja Dodoma yanalenga kitu gani?

Someni mabadiliko hayo kwa umakini sana sana, Msije baadae mkaanza kulaumu Serikali.


View attachment 2105978


Serikali imepeleka Bungeni mabadiliko ya sheria mbalimbali, ni muhimu watu mkasome vizuri hizi sheria

Luteni Urio na wenzake baada ya kubanwa mahakamani ilionekana moja kwa moja wao ndio waliotengeneza hiyo picha ya kesi ya Mbowe kwa kuwatafuta Makomandoo ili wakafanye uharifu

Fuatilia vizuri Mahojiano ya Kibatala na Urio utangundua Urio anajitetea yeye kama Undercover

Kwa sheria hii ikipita Urio hiyo kesi haimuhusu anaokoka mapema sana, Ongezeko la neno Undercover kwenye sheria hii moja kwa moja Urio na wenzake hawahusiki na kesi hii ya Mbowe
Lakini Urio ni military personnel sio police, hivyo kwa mujibu wa hiyo sheria he has no any excuse unless otherwise the contrary is proven.
 
Lakini Urio ni military personnel sio police, hivyo kwa mujibu wa hiyo sheria he has no any excuse unless otherwise the contrary is proven.
Wewe hii nchi huijui, Kaa kimya
Huyo millitary personnel kibali si alikipata kwa Director of criminal Investigation yaani DCI Boaz wakati huo au?
 
Ina maana kuwa polisi wameruhusiwa kufanya uhalifu kwa kisingizio cha kuwa “undercover”

Wasiojulikana watafanya uhalifu wakilindwa na sheria. Duh!
 
Mimi ni mwana CCM, Lakini kwanini tunabadili sheria kwa kuangalia manufaa ya wachache badala ya manufaa ya Taifa

Sheria inaweza kutumika kwa kurudi nyuma au kwenda mbele, mfano wa sheria zilizotumika kwa kurudi nyuma baada ya kutungwa ni sheria ya Bodi ya MIKOPO ya wanafunzi wa elimu ya juu( HESLB) hii iliathiri hata wale waliochukua mkopo zamani kuanza kulipa 15%

Sasa hii sheria mpya ikipita hasa Kipengele tajwa msije sema hatukusema au tunatetea ccm, Tutasimama na sheria irudi nyuma au iende mbele kwa matumizi

Kipengele cha Undercover kimeongezwa ghafla kwenye sheria ya Criminal procedure Act Cap 20 section 47 Subsection 47A, Lengo kuwa police waliohusika kwa siri kwenye uchunguzi wa uhalifu wasiwe sehemu ya uhalifu huo

Sheria inapasa iangalie mbele na sio kuangalia matukio ya watu wachache

Mapendekezo yanayopelekwa Bungeni tena kwa tangazo la Bunge la ghafla watu wakatoe maoni kwa siku moja Dodoma yanalenga kitu gani?

Someni mabadiliko hayo kwa umakini sana sana, Msije baadae mkaanza kulaumu Serikali.


View attachment 2105978


Serikali imepeleka Bungeni mabadiliko ya sheria mbalimbali, ni muhimu watu mkasome vizuri hizi sheria

Luteni Urio na wenzake baada ya kubanwa mahakamani ilionekana moja kwa moja wao ndio waliotengeneza hiyo picha ya kesi ya Mbowe kwa kuwatafuta Makomandoo ili wakafanye uharifu

Fuatilia vizuri Mahojiano ya Kibatala na Urio utangundua Urio anajitetea yeye kama Undercover

Kwa sheria hii ikipita Urio hiyo kesi haimuhusu anaokoka mapema sana, Ongezeko la neno Undercover kwenye sheria hii moja kwa moja Urio na wenzake hawahusiki na kesi hii ya Mbowe
Mboe alikuwa na "NIA OVU" ndio maana alinaswa kwenye mtego ulikuwa umewekwa na Ltn. Urio.
kama mboe asingekuwa mtu muovu/mhalifu asinge nasa.
Hapo ndipo utagundua tofauti kati ya Mtu mwenye ELIMU na asiye na Elimu.
alifanya mambo ya kijinga kijinga kweli bila hata kutafakari!
Duh! failure!
 
Mkuu tunaelekea huko ...hii itapitishwa kwa dharura.. Itapelekwa haraka kwa chief Hangaya..
Kutumika sasa hivi italeta aibu.. Ila Serikali haina aibu.. Unaweza shangaa ikatumika mahakama ya rufani kama kesi itafika huko japo pia ni aibu
Aisee,hivi hawa wanasiasa wanajua wanakotupeleka lakini?hivi hii nchi haina deep state?!eti Tumia akili hao jamaa zenu wana kazi gani ikiwa nchi inapitia vitu vya ajabu hivi?!mnaelewa madhara ya hili suala kwa baadae?!mnataka kuharibu ustawi wa nchi wote wa baadae kwa kusolve hizi ishu za muda mfupi?!20 years to come inawezekana kusiwe na Mbowe wala Chadema but you wanna ruin the whole country and its future generations kwa kujenga precedence za ajabu hivi ili tu kumkomoa mtu mmoja?!dah!najua waafrika tuna shida ila sikujua tuna shida kubwa hivi!
 
Hata hivyo, hayo marekebisho yanamtaja Police officer pekee. Lut. Urio sio police officer
Ndio maana ya watu kutwa kutoa maoni, inaweza kuongeza au ikabadilishwa kuwa security officer.
 
Mimi ni mwana CCM, Lakini kwanini tunabadili sheria kwa kuangalia manufaa ya wachache badala ya manufaa ya Taifa

Sheria inaweza kutumika kwa kurudi nyuma au kwenda mbele, mfano wa sheria zilizotumika kwa kurudi nyuma baada ya kutungwa ni sheria ya Bodi ya MIKOPO ya wanafunzi wa elimu ya juu( HESLB) hii iliathiri hata wale waliochukua mkopo zamani kuanza kulipa 15%

Sasa hii sheria mpya ikipita hasa Kipengele tajwa msije sema hatukusema au tunatetea ccm, Tutasimama na sheria irudi nyuma au iende mbele kwa matumizi

Kipengele cha Undercover kimeongezwa ghafla kwenye sheria ya Criminal procedure Act Cap 20 section 47 Subsection 47A, Lengo kuwa police waliohusika kwa siri kwenye uchunguzi wa uhalifu wasiwe sehemu ya uhalifu huo

Sheria inapasa iangalie mbele na sio kuangalia matukio ya watu wachache

Mapendekezo yanayopelekwa Bungeni tena kwa tangazo la Bunge la ghafla watu wakatoe maoni kwa siku moja Dodoma yanalenga kitu gani?

Someni mabadiliko hayo kwa umakini sana sana, Msije baadae mkaanza kulaumu Serikali.


View attachment 2105978


Serikali imepeleka Bungeni mabadiliko ya sheria mbalimbali, ni muhimu watu mkasome vizuri hizi sheria

Luteni Urio na wenzake baada ya kubanwa mahakamani ilionekana moja kwa moja wao ndio waliotengeneza hiyo picha ya kesi ya Mbowe kwa kuwatafuta Makomandoo ili wakafanye uharifu

Fuatilia vizuri Mahojiano ya Kibatala na Urio utangundua Urio anajitetea yeye kama Undercover

Kwa sheria hii ikipita Urio hiyo kesi haimuhusu anaokoka mapema sana, Ongezeko la neno Undercover kwenye sheria hii moja kwa moja Urio na wenzake hawahusiki na kesi hii ya Mbowe
Kosa huwa kosa kwa sheria iliyopo usiwe mjinga,sio kosa la jana sheria ya kesho hili halipo jisomee vitabu
 
Mimi ni mwana CCM, Lakini kwanini tunabadili sheria kwa kuangalia manufaa ya wachache badala ya manufaa ya Taifa

Sheria inaweza kutumika kwa kurudi nyuma au kwenda mbele, mfano wa sheria zilizotumika kwa kurudi nyuma baada ya kutungwa ni sheria ya Bodi ya MIKOPO ya wanafunzi wa elimu ya juu( HESLB) hii iliathiri hata wale waliochukua mkopo zamani kuanza kulipa 15%

Sasa hii sheria mpya ikipita hasa Kipengele tajwa msije sema hatukusema au tunatetea ccm, Tutasimama na sheria irudi nyuma au iende mbele kwa matumizi

Kipengele cha Undercover kimeongezwa ghafla kwenye sheria ya Criminal procedure Act Cap 20 section 47 Subsection 47A, Lengo kuwa police waliohusika kwa siri kwenye uchunguzi wa uhalifu wasiwe sehemu ya uhalifu huo

Sheria inapasa iangalie mbele na sio kuangalia matukio ya watu wachache

Mapendekezo yanayopelekwa Bungeni tena kwa tangazo la Bunge la ghafla watu wakatoe maoni kwa siku moja Dodoma yanalenga kitu gani?

Someni mabadiliko hayo kwa umakini sana sana, Msije baadae mkaanza kulaumu Serikali.


View attachment 2105978


Serikali imepeleka Bungeni mabadiliko ya sheria mbalimbali, ni muhimu watu mkasome vizuri hizi sheria

Luteni Urio na wenzake baada ya kubanwa mahakamani ilionekana moja kwa moja wao ndio waliotengeneza hiyo picha ya kesi ya Mbowe kwa kuwatafuta Makomandoo ili wakafanye uharifu

Fuatilia vizuri Mahojiano ya Kibatala na Urio utangundua Urio anajitetea yeye kama Undercover

Kwa sheria hii ikipita Urio hiyo kesi haimuhusu anaokoka mapema sana, Ongezeko la neno Undercover kwenye sheria hii moja kwa moja Urio na wenzake hawahusiki na kesi hii ya Mbowe
Bibi Sultan....hata kwa mababu haikuwa namna hiyo
 
Wewe hii nchi huijui, Kaa kimya
Huyo millitary personnel kibali si alikipata kwa Director of criminal Investigation yaani DCI Boaz wakati huo au?
Unachokisema ni kweli kabisa lakini sheria imemtaja askari wa jeshi gani? Je kwa wakati huo Urio alibadiishwa na kuwa polisi?

Pia kuna concept ya "retrospective of the law" sheria haitumiki kurudi nyuma unless otherwise it has been stated by itself. Hivyo kwa kutumia maelezo hayo Urio hana kinga labda Waamue Waamue kufanya waliyopaga.
 
Nyie watu wa ajabu sana,yaani hiyo kesi kesi gani kila siku mnajadili upuuzi.
 
Reasoning ya vijana inakuwa clouded na siasa .... Sasa marekebisho haya jinsi yalivyo (ukiachana na kesi ya mbowe) yanaathari gani negative?

Cause ukweli ni kwamba haikuwa mission yake ila alitumwa then deal na aliyemtuma period!

Unashabikia kupiga tobo na chenga while score board inasoma mmepigwa 7 - 0
 
Mimi ni mwana CCM, Lakini kwanini tunabadili sheria kwa kuangalia manufaa ya wachache badala ya manufaa ya Taifa

Sheria inaweza kutumika kwa kurudi nyuma au kwenda mbele, mfano wa sheria zilizotumika kwa kurudi nyuma baada ya kutungwa ni sheria ya Bodi ya MIKOPO ya wanafunzi wa elimu ya juu( HESLB) hii iliathiri hata wale waliochukua mkopo zamani kuanza kulipa 15%

Sasa hii sheria mpya ikipita hasa Kipengele tajwa msije sema hatukusema au tunatetea ccm, Tutasimama na sheria irudi nyuma au iende mbele kwa matumizi

Kipengele cha Undercover kimeongezwa ghafla kwenye sheria ya Criminal procedure Act Cap 20 section 47 Subsection 47A, Lengo kuwa police waliohusika kwa siri kwenye uchunguzi wa uhalifu wasiwe sehemu ya uhalifu huo

Sheria inapasa iangalie mbele na sio kuangalia matukio ya watu wachache

Mapendekezo yanayopelekwa Bungeni tena kwa tangazo la Bunge la ghafla watu wakatoe maoni kwa siku moja Dodoma yanalenga kitu gani?

Someni mabadiliko hayo kwa umakini sana sana, Msije baadae mkaanza kulaumu Serikali.


View attachment 2105978


Serikali imepeleka Bungeni mabadiliko ya sheria mbalimbali, ni muhimu watu mkasome vizuri hizi sheria

Luteni Urio na wenzake baada ya kubanwa mahakamani ilionekana moja kwa moja wao ndio waliotengeneza hiyo picha ya kesi ya Mbowe kwa kuwatafuta Makomandoo ili wakafanye uharifu

Fuatilia vizuri Mahojiano ya Kibatala na Urio utangundua Urio anajitetea yeye kama Undercover

Kwa sheria hii ikipita Urio hiyo kesi haimuhusu anaokoka mapema sana, Ongezeko la neno Undercover kwenye sheria hii moja kwa moja Urio na wenzake hawahusiki na kesi hii ya Mbowe
ACHA ujinga MbowesioGaidi malipo Ni hapa hapa duniani litakutokea na wew usingiziwe Utajuta!mmbw wew
 
Back
Top Bottom