beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji Jacob Casthom Mwambegele kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), akichukua nafasi ya Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage ambaye amemaliza muda wake
Jaji Mwanaisha Athuman Kwariko ameteuliwa kuwa Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Pia, Rais amemteua Jaji Sam Mpaya Rumanyika wa Mahakama Kuu kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani
Taarifa zaidi:
Jaji Mwanaisha Athuman Kwariko ameteuliwa kuwa Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Pia, Rais amemteua Jaji Sam Mpaya Rumanyika wa Mahakama Kuu kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani
Taarifa zaidi: