Ndugu hawa jamaa walianza kuwasumbua wajumbe wa mkutano kuanzia siku ya kwanza ya mkutano!
Walisimamisha mtu wao kutoka IFM dalili za kushindwa zilipojitokeza walianza kutumia dola kuwatisha wajumbe.
Pongezi kwa wasomi hawa ambao walitumia kila njia kufanikisha agenda ya uchaguzi...
Mmesahau Winnie aliamua kula raha na kijana mdogo wa miaka 32 aliyekuwa mwanasheria wa ANC na alimletea TATA MADIBA kiburi alipomshauri asiende safari ya Ulaya?
Alilewa penzi la kijana hivyo HASTAHILI kupata heshima ya Mandela.
Asante Obama na wenzako kwa kuendelea kumfunza adabu Winnie!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.