Haki ya mama CHADEMA ni janga baya kha!
Mkuu mandieta, siasa inahusika nini na matokeo ya form six ? Watu tutashindwa kufanya shughuli zetu za maendeleo maana hata ukikaa kijiweni kuanzia asubuhi mpaka jioni, ukifika nyumba familia yako ikakuomba matumizi, unasema CCM na CHADEMA wamesababisha sina pesa.
Last edited by a moderator: