ifweero
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 7,957
- 1,327
kumbe angeshinda wa magambani hapo wangekuwa wameyaweza masomo?
huo ni mtanzamo wako. Hakuna mahali nimetaja magamba... Ni hofu tu imekuzidi
kumbe angeshinda wa magambani hapo wangekuwa wameyaweza masomo?
Malizeni chuo mkalime huko mana masomo yamewashinda
Kitu kinacho onekana ni pigo kwa Ndugu January Makamba anaye taraji kutumia mtandao wa wanavyuo umeingia mchanga baada ya Kiongozi wa TAHLISO kutoka chuo cha Bugando kuwa ni mfuasi wa karibu wa CDM hivyo njozi za January Makamba zimeanza kufifia kwa kasi sana. Baadhi ya makada wa CCM wameonekana kumshambulia ndg Christopher Ngubiagai kwa kushindwa kupanga vizuri karata zake ili khali yeye ndio shughuli yake ya kuhudumia vyuo vikuu. Makada wengi wa elimu ya juu wanasema watamshauri Katibu mkuu wao Kinana amuondoe huyu Christopher Ngubiagai Rais mpya wa Tahliso anaitwa Musa Mdede toka Bugando. January Makamba umepigwa brother Kumbuka kuwa Ujana sio sifa lakini pia Uzee sio Kashifa.
hivi huko bugando mnachagua viongozi wa wanafunzi kwa ajili ya akademic au mnachagua viongozi wa vyama vya siasa? non sense.Kitu kinacho onekana ni pigo kwa Ndugu January Makamba anaye taraji kutumia mtandao wa wanavyuo umeingia mchanga baada ya Kiongozi wa TAHLISO kutoka chuo cha Bugando kuwa ni mfuasi wa karibu wa CDM hivyo njozi za January Makamba zimeanza kufifia kwa kasi sana. Baadhi ya makada wa CCM wameonekana kumshambulia ndg Christopher Ngubiagai kwa kushindwa kupanga vizuri karata zake ili khali yeye ndio shughuli yake ya kuhudumia vyuo vikuu. Makada wengi wa elimu ya juu wanasema watamshauri Katibu mkuu wao Kinana amuondoe huyu Christopher Ngubiagai Rais mpya wa Tahliso anaitwa Musa Mdede toka Bugando. January Makamba umepigwa brother Kumbuka kuwa Ujana sio sifa lakini pia Uzee sio Kashifa.
Unachokichukia ndiyo unakitenda.Unachukia wanywa gongo unasapoti wauza madawa ya kulevya.mimi naichukia sana gongo pamoja na wanaoitumia. Hebu tueleze hapa kwa ufasaha kuwa wewe hutumii hiki kinywaji...wasomi wa siku hizi wamechagua easy option ya siasa kwa sababu wameshindwa kushugulisha bongo zao kwenye masomo.. Tahliso sio taasisi ya kisiasa lakini inatumika na wanasiasa kwa malengo ya kisiasa... Nini was the rationale behind your comment then?
sio kweli. Mkoa wa mwanza una majimbo 8 ya uchaguzi. Ccm ina majimbo 5 chadema ina matatu. Unatoa wapi authority ya kuamini kwamba machadema ndio yametawala siasa za mwanza? Danganya watoto wenzako huko kwenye rede
Leo mapenzi ya siasa umeyakana ? wakati ndo kazi yako kushabikia ccm ? na huo ubora wa elimu unaotaka ijadiliwe kwa akili yako anaye weza kukifanya chuo kiwe bora ni nani ? je ni serikali, walimu au mwanafunzi ?mkuu, kwanini tusijadili ubora wa elimu ya vyuo hivyo badala ya kujadili uchadema na uccm kwenye ishu nyeti ya taaluma?
Kitu kinacho onekana ni pigo kwa Ndugu January Makamba anaye taraji kutumia mtandao wa wanavyuo umeingia mchanga baada ya Kiongozi wa TAHLISO kutoka chuo cha Bugando kuwa ni mfuasi wa karibu wa CDM hivyo njozi za January Makamba zimeanza kufifia kwa kasi sana. Baadhi ya makada wa CCM wameonekana kumshambulia ndg Christopher Ngubiagai kwa kushindwa kupanga vizuri karata zake ili khali yeye ndio shughuli yake ya kuhudumia vyuo vikuu. Makada wengi wa elimu ya juu wanasema watmagamba yanakemewe na kila mtu kama shetani anavyoshambuliwa kila kona
Hiyo comment yako tosha ni tusi kubwa kwa Chama kikubwa na chenye Hadhi kama Chadema....hakuna correlation ya matusi yako na comment yangu na hoja iliyopo mezani. Umeathiriwa na gongo ndio mana unaandika upuuzi jukwaani. Pole sana mkuu
Subiri uone uchaguzi unaokuja, labda wakatae kuandikisha daftari jipya la wapiga kura, halafu polisi CCM ifanye kazi yake wakishirikiana na TISS CCM, waibe kwa nguvu zote hapo ndo wanaweza kupata walau jimbo moja!
Malizeni chuo mkalime huko mana masomo yamewashinda
sio kweli. Mkoa wa mwanza una majimbo 8 ya uchaguzi. Ccm ina majimbo 5 chadema ina matatu. Unatoa wapi authority ya kuamini kwamba machadema ndio yametawala siasa za mwanza? Danganya watoto wenzako huko kwenye rede
aaah vijana wananjaa hao watahongwa na miccmkitu kinacho onekana ni pigo kwa ndugu january makamba anaye taraji kutumia mtandao wa wanavyuo umeingia mchanga baada ya kiongozi wa tahliso kutoka chuo cha bugando kuwa ni mfuasi wa karibu wa cdm hivyo njozi za january makamba zimeanza kufifia kwa kasi sana. Baadhi ya makada wa ccm wameonekana kumshambulia ndg christopher ngubiagai kwa kushindwa kupanga vizuri karata zake ili khali yeye ndio shughuli yake ya kuhudumia vyuo vikuu. Makada wengi wa elimu ya juu wanasema watamshauri katibu mkuu wao kinana amuondoe huyu christopher ngubiagai rais mpya wa tahliso anaitwa musa mdede toka bugando. January makamba umepigwa brother kumbuka kuwa ujana sio sifa lakini pia uzee sio kashifa.
ccm wkifanya hila dhidi ya chadema lazima itawarudi wenyewe,kila siku nawaambia maneno haya lakini hawataki kunisikia, hila za ccm sasahivi hazifichikiKitu kinacho onekana ni pigo kwa Ndugu January Makamba anaye taraji kutumia mtandao wa wanavyuo umeingia mchanga baada ya Kiongozi wa TAHLISO kutoka chuo cha Bugando kuwa ni mfuasi wa karibu wa CDM hivyo njozi za January Makamba zimeanza kufifia kwa kasi sana. Baadhi ya makada wa CCM wameonekana kumshambulia ndg Christopher Ngubiagai kwa kushindwa kupanga vizuri karata zake ili khali yeye ndio shughuli yake ya kuhudumia vyuo vikuu. Makada wengi wa elimu ya juu wanasema watamshauri Katibu mkuu wao Kinana amuondoe huyu Christopher Ngubiagai Rais mpya wa Tahliso anaitwa Musa Mdede toka Bugando. January Makamba umepigwa brother Kumbuka kuwa Ujana sio sifa lakini pia Uzee sio Kashifa.
CCM wangeshinda ungesema hivyo?Malizeni chuo mkalime huko mana masomo yamewashinda
Malizeni chuo mkalime huko mana masomo yamewashinda
Ukilaza ndio umewafanya wachague siasa badala ya taaluma