Recent content by Babu Marasta

  1. Babu Marasta

    Unaweza kumuiga Pacome kuweka bleach kichwani lakini uwezi kumuiga ubora wake!

    Ukiweka bleach umewapa watu urahisi wa kukupinpoint uwanjani, kwa sasa Pacome na Bruno Guimaraes ndio wanaitendea haki bleach
  2. Babu Marasta

    Tarehe 9-12-1961 ilikukuta wapi?

    Nilikua nafuatilia mafao yangu kwenye serikali ya mkoloni
  3. Babu Marasta

    Vodacom acheni wizi wa rejareja

    Sitisha huduma ya "matumizi bila bando" kwenye line yako
  4. Babu Marasta

    Kwanini wakoloni wameamua kutembelea makoloni yao kwa mpigo

    Wamejifunza kupitia mapinduzi yanayotokea nchi za Afrika magharibi, raia wameonesha wazi wamechoka na hawataki mahusiano yasiyo na tija na mkoloni Ufaransa
  5. Babu Marasta

    Kwani Mwigulu Nchemba ni nani bwana wewe?

    Baada ya kuzunguka nchi nzima mkiandika Mwigulu rais, sasa mnaandaa mikakati mipya na safari hii bajeti itakua imeshiba zaidi ndio maana uko hapa na kitambi cha tozo ukimtakatisha Tajir
  6. Babu Marasta

    Sifa ya kwanza ya kiongozi mbovu wa Afrika ni kusifiwa na wazungu

    Upo sahihi mkuu, hakuna kiongozi makini wa afrika atakayependwa na mabeberu historia inadhihirisha hilo. Katika freedom fighters wa afrika Mandela pekee ndiye anayeimbwa sana na mabeberu na hii ni kwwa sababu alilinda maslahi yao, huwezi kumskia Nyerere, Lumumba,Sankara na wazalendo wengine...
  7. Babu Marasta

    Pepsi wameharibu kabisa kuleta hizi big hazina radha. Zile chupa ndogo mwake

    Wameongeza maji sio? ujazo extra kwa bei Ile ile ya jero
  8. Babu Marasta

    Michael Jai White Ni moja ya actor konki sana

    Usimsahau mkali wa capoeira Lateef Crowder
  9. Babu Marasta

    Msaada jamani nikila chakula nasikia njaa baada ya muda mfupi

    Subiri anakula Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Babu Marasta

    Unafurahia nini na maisha yako katika historia ya kuvuta bangi(all about weed)

    Man made beer, God made weed. In God We Trust! Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom