Wamejifunza kupitia mapinduzi yanayotokea nchi za Afrika magharibi, raia wameonesha wazi wamechoka na hawataki mahusiano yasiyo na tija na mkoloni Ufaransa
Baada ya kuzunguka nchi nzima mkiandika Mwigulu rais, sasa mnaandaa mikakati mipya na safari hii bajeti itakua imeshiba zaidi ndio maana uko hapa na kitambi cha tozo ukimtakatisha Tajir
Upo sahihi mkuu, hakuna kiongozi makini wa afrika atakayependwa na mabeberu historia inadhihirisha hilo. Katika freedom fighters wa afrika Mandela pekee ndiye anayeimbwa sana na mabeberu na hii ni kwwa sababu alilinda maslahi yao, huwezi kumskia Nyerere, Lumumba,Sankara na wazalendo wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.