Nima mwanangu ana umri wa miaka 15 akianza kula jasho linamtoka sana kama amemwagiwa maji hata kama kuna baridi kiasi gani na ana mwili mkubwa. Je wana JF huu ni ugonjwa au ni nini naombe msaada mnijuze.
Mwogopeni mungu wenu hivi jamani kuua ni dhambi chukulia wewe kama mzazi wako angekunywa hizo dawa wewe ungekuwepo? Tumia kinga ili usiingie kwenye dhambi ya kuua nakushauri usitoe toe hiyo mimba acha mama azae utawatunza tu hao watoto kwa maziwa ya ngombe na lactogen pia tunaompa ushauri...
mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 61 nimepima kisukari nimeambiwa nina 13.7. Je, wana jf mnanipa ushauri gani?
Pia miguu inakufa ganzi kwa mbele hata nikivaa ndala yaweza kuchomoka bila mimi kujua sasa basi wana jf
Nisaidien ushauri na tiba ya tatizo hilo.
Hivi hawa NIDA wangetoa vitambulisho muda unaofaa yote haya yasingetokea leo unawatwisha Watanzania mzigo si wao kwani wangesajili kwa kitambulisho cha mpiga kura kungekuwa na tatizo gani?Serikali imeweka mashariti lazima uwe na nida wakati imeshindwa kutosheleza vitambulisho mbona serikali...
Kwa mwenye busara atajionja lakini kama hana busara ataona kawaida yaani ni kama wakenya wanamkejeri kwamba kwako wananchi wako hawaoni bunge live lakini kwetu wanaona hebu mheshimiwa jionje uone aibu kwako unazuia mayai watoto wasile unaenda ugenini unakuta watoto wa wenzio wanakula mayai je...
Kwa kweli sijui kamaTCRA Kama wapo na kama wapo basi wanashirikiana na makampuni kuhujumu watumiaji simu au hawana nguvu ya kupambana na makampuni kuna minara inatumia sola wanatuibia sana masalio yetu minara hiyo kuwepo hewani hutegemea na jua kwa mfano unaweka salio saa 10 jioni halafu nguvu...
Wallouza tausi uarabuni hawasemwi tausi walipanda ndege enzi za utawala wa mzee wa rukhusa lakini hawasemwi pia ikulu kuna ulinzi mkali sana je watu hawa waliwezaje kuingia ikulu na kutoka na tausi nadhani wanaonewa huenda wamewapata huko mbugani wakawafuga baada ya kuwaona wakadai ni wa ikulu...
Wewe unajua kabisa kuwa jf kuna watu wenye fani tofauti kwanini usingeuliza kwanza kabla hujasaini huo mkataba? wana jf wangekushauri na huenda ungepata ushauri na kejeli kibao lakini hukuwahusisha leo mambo yamekuzidi na muda umekwenda wana jf sijui kama watakupa majibu maana hata kabla mimba...
TBC WAO NA HOTUBA ZA MKUU TU KUMFURAHISHA MKUU HAJUI KAMA RAIA WENGI HAWAPENDEZWI NA WANAYOYAFANYA TBC TAIFA INASHINDWA KUONYESHA TIMU YA TAIFA? KAMA SI KUJIPENDEKEZA KWA MKUU BASI NINI WATUMISHI WENGI WANAFANYA MAMBO ILI WAONEKANE KWA MKUU NDUGU RYOBA ACHA UOGA WEWE MSOMI UKIFUKUZWA TBC VIPO...
zamani wakati tukikua sisi bajeti yote ilikuwa inapitishwa na bunge ndipo mradi unaanza lakini leo hii miradi inajengwa bila kupitishwa na bunge sasa bunge lina kazi gani? na wabunge mpo mnaangalia tu je nini jukumu lenu bunge la bajeti zaid ya miezi 3 lakini mzee anakuwa na maamuzi yake je nn...
HIVI NI TANZANIA HII? MBONA KIZAMANI SANA NAUNGANA NA MFANYA BIASHARA HUYO ASILIPE ILI WAONDOKANE NA MAMBO YA KIZAMANI HUENDA MAMBO HAYO YANAENDANA NA USHIRIKINA ASIWAPE HIZO 12 ELF KAMA ANALIPIA MAMBO YOTE YA SERIKALI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.