Kilosaone
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 407
- 216
Habarini.
Kwa nini ajitathmini?
Nasema ajitathmini kwa kuwa ameshindwa kutuonesha mechi za timu yetu ya Taifa. Hali hii hadi lini?
Ndo maana nasema huyu CEO wa TBC ajiangalie mara mbili mbili ktk utendaji wake.
Mfano Leo timu ya taifa inacheza na Sudan lakini tunashindwa kuangalia tukiwa home na hizi mvua hata kutoka tunaogopa.
Kwa nini ajitathmini?
Nasema ajitathmini kwa kuwa ameshindwa kutuonesha mechi za timu yetu ya Taifa. Hali hii hadi lini?
Ndo maana nasema huyu CEO wa TBC ajiangalie mara mbili mbili ktk utendaji wake.
Mfano Leo timu ya taifa inacheza na Sudan lakini tunashindwa kuangalia tukiwa home na hizi mvua hata kutoka tunaogopa.