mr yamoto
JF-Expert Member
- Oct 2, 2016
- 923
- 1,393
Salaam Mheshimiwa Job Ndugai, nakuona (Live) ukihudhuria kama mgeni mwalikwa kwenye Bunge la Kenya kupitia Citizen TV. Hivi unajisikiaje kuonekana live kwenye Bunge la nchi nyingine wakati la kwako ulilizima?
Nisalimie sana Wabunge wa Bunge la Kenya. Wenzetu wamekwenda mbali zaidi, Spika wetu 'Anazindua utangazaji live wa shughuli za Kamati za Bunge la Kenya'
Nadhani kuna utani hapa. Mtu 'aliyezima' Bunge 'anawashaje' Bunge?
Mr Yamoto.
Update
Spika Job Ndugai: Nawapongeza kwa uzinduzi, kwamba sasa vikao vya kamati mbali mbali zitapeperushwa mbashara (LIVE)
Job Ndugai, Spika- Bunge la Tanzania: Sisi kama bunge la Tanzania tunatumia Kiswahili. Hili linawezekana
Nisalimie sana Wabunge wa Bunge la Kenya. Wenzetu wamekwenda mbali zaidi, Spika wetu 'Anazindua utangazaji live wa shughuli za Kamati za Bunge la Kenya'
Nadhani kuna utani hapa. Mtu 'aliyezima' Bunge 'anawashaje' Bunge?
Mr Yamoto.
Update
Spika Job Ndugai: Nawapongeza kwa uzinduzi, kwamba sasa vikao vya kamati mbali mbali zitapeperushwa mbashara (LIVE)
Job Ndugai, Spika- Bunge la Tanzania: Sisi kama bunge la Tanzania tunatumia Kiswahili. Hili linawezekana