Recent content by Babia Ndonga Shokoloo

  1. B

    JamiiForums Tanzania Baada ya serikali ya CCM kutumia nguvu kubwa kuua upinzani bila mafanikio, Nachokiona itazima mtandao siku ya Tarehe 28 Oktoba

    Tangu awamu ya 5 inayoongozwa na John Pombe Magufuli iingie madarakani mwaka 2015, imejitahidi sana kupambana na upinzani kwa kutumia vyombo mbalimbali vya serikali ili kuvunja nguvu ya mashabiki na wanachama wanaounga mkono vyama vya upinzani hasa Chadema. Katika uchaguzi huu CCM walitegemea...
  2. B

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kwa mambo haya 10, mimi kama Mtumishi wa Umma (mwalimu), John Pombe Magufuli sikupi kura yangu asilani

    Pamoja na kujipitisha mashuleni kutuomba kura za huruma, mie nimeamua kura yangu sitampa mgombea wa ccm kama nilivyofanya 2015 hii ni kutokana na mambo 10 niliyoyaona kipindi hiki cha miaka mitano 1. Makato ya bodi ya mikopo toka 8% hadi 15% bila sababu maalum tena kwa ubabe. 2. kutunyima...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria kuhusu mikopo katika Mabenki

    Habari za maisha wote mtakaopitia hapa. Ninahitaji msaada kuhusiana na mkopo nilioufanya katika moja ya benki hapa nchini. Mie ni mwajiriwa katika manispaa ya Lindi mwaka wa sita sasa, tangu niajiriwe sikuwahi kufanya mkopo na benki yoyote hadi ilipofika mwaka jana mwezi wa nane nikalazimika...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kwa walioko Dar, Nauza King'amuzi cha star Times cha Antenna (Chuma)

    Nipo Ukonga Mombasa. Fanya 40,000 mkuu.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kwa walioko Dar, Nauza King'amuzi cha star Times cha Antenna (Chuma)

    Tayari nilishachukua Azam baada ya kufika na kuona opportunity ya kuonyesha mipira
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kwa walioko Dar, Nauza King'amuzi cha star Times cha Antenna (Chuma)

    Nimepangiwa kazi huko ya ualimu zilizotoka mwezi wa tano
  7. B

    JamiiForums Tanzania Kwa walioko Dar, Nauza King'amuzi cha star Times cha Antenna (Chuma)

    Habari wapendwa. Ninauza king'amuzi cha star times cha chuma cha Antenna kwa bei ya Tsh 45,000/=. Sababu ya kuuza ni kuwa ninahama Dar naelekea Kilosa huko antenna hazishiki. Kina channeli za bure nyingi tu kama ITV, Star Tv, Tbc1, channel ten, EATV, Tumaini TV, WRM, n.k
  8. B

    JamiiForums Tanzania Kuondolewa kwa Baadhi ya chaneli katika king'amuzi cha Azam, Nimkakati wa CCM ili watu watazame TBC.

    Baada ya kufuatilia kwa muda mrefu kutaka kujua nini hatima ya chaneli za ITV, Star TV, EATV, Clouds TV, Capital TV n.k kutopatikana katika king'amuzi cha Azam, nimekutana na mtonyaji toka Lumumba ambaye hapendezwi na kinachoendelea nchini kwa wakati huu na kuniambia kuwa ukimya wa serikali juu...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Press conference iliyopangwa kufanyika tarehe 15/ 01 ni ya aibu sana

    tulianza na Mungu....................tutamaliza na Mungu
  10. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta Nyumba ya kupanga kwa morogoro mjini

    moro vip nyumba jamani...........aliye nayo ani pm. room mbili na sebule
  11. B

    JamiiForums Tanzania Kuna nchi zingine duniani zinazotoza ushuru kwenye daraja kama hapa Tanzania?

    Habari wapendwa. Leo nilikuwa mahari fulani na kukawa na ubishi kuhusu vyombo vya moto kutozwa tozo/ushuru katika daraja linalounganisha kigamboni na maeneo mengine ya jiji la Dar kupitia kurasini, wapo waliokuwa wanasema utaratibu huu hutumika sehemu mbalimbali duniani japo walikosa ushahidi...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Mwenye update za ufadhili wa masomo toka china kupitia UTUMISHI?

    Habari wapendwa. Napenda nifahamishwe update zinazohusu scholarship zinazotoolewa na serikali ya china (Ministry of Finance and Commerce MOFCOM) kupitia UTUMISHI..Tunaombeni update wapi zimefikia
  13. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ipi ni Golden Generation kwa Koffi Olomide?

    Kuna wakati hawa waliotamba 1990-2000 walijitoa kwa kofi na kuanzisha Quarter latin academia lakini baada ya muda wakaanza kurudi kwa mopao, japo Sam Tshintu ndiye mpaka leo hajawahi kurudi. Waliorudi Gecko Bouro mpela, Madogo Abarambwa n.k
  14. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ipi ni Golden Generation kwa Koffi Olomide?

    kivipi wameungana kaka
Back
Top Bottom