Wadau kuna haya malori yanawekwa uwanja wa Taifa, kuna kero kazaa ambazo niliziona mechi ya Jumamosi:
1- Yanazuia watu kukosa Parking, watu wanaweka magari yao mtaani ambayo ni risk kubwa sana
2- Yanaleta kero kubwa sana wakato wa kutoka, njia ndogo na yameziba njia yote, angalau wayaondoe dk...