Recent content by Babati Yetu

  1. B

    Tujifunze hatua za kufata kabla hujachimba kisima cha kisasa (borehole)

    Mitandaoni bei wanaweka kubwa sana mpaka unajifikiri wanatuonaje
  2. B

    PreGE2025 Je utashiriki kupiga kura kwenye uchaguzi 2025 baada ya CDM kutokuwepo kwenye mchakato?

    Unatakiwe ufie kwenye uwanja wa vita mkuu, hakuna simple way always
  3. B

    Ni dhambi kupromote umasikini misikitini/makanisani

    Hapa naungana nawe mtaalam, unaambiwa toa yote, mara utajiri wa dunia hauna thawabu
  4. B

    PreGE2025 Je utashiriki kupiga kura kwenye uchaguzi 2025 baada ya CDM kutokuwepo kwenye mchakato?

    Chadema kwa sasa hawajui hata Wanachokiamini, wanatembea na fikra za Facebook
  5. B

    Hatimaye DK SLAA arejea

    Mpinzani wa kweli ni mnafki na mlaghai wa sisiemu akipandikizwa upinzani
  6. B

    Hivi wapinzani kuhamia CCM wanakuwa wamenunuliwa?

    Wapinzani wanajipangaje kumaliza huo utata?
  7. B

    Patrobas ni pengo kubwa CHADEMA

    CCM wewe Alafu unahubiri uwongo tu.... alichukua kiasi gani?
  8. B

    Mbweni, Dar: Mkutano wa CHADEMA wavamiwa, watu kadhaa waumizwa, Polisi walikuwepo

    Alafu mlichukua Hatua gani kukabiliana nao?
  9. B

    Wapinzani wanataka mikutano ya kisiasa kwa malengo gani?

    Huyu naye utaambiwa ana degree Wakati maana halisi ya vyama vya siasa hajui.... my country... my people
  10. B

    CHADEMA mjitafakari msiwabeze wahamaji, wana hoja za msingi. Adui wenu mkuu sio CCM! Lazima mbadilike

    Biashara zinaendelea mkuu.... binafsi kosa walilofanya ni pale ambapo wanapinga Udikteta alafu wanafuta.... msimamo hamna..... katiba inavunjwa wanalalamika alafu wakakaa kimya...... kura zinaibiwa hata wakishinda hawatangazwi(Wenyeviti huko Arusha?)wanabaki kulalamika .Ila kamati kuu ikae chini...
  11. B

    Tetesi: Wabunge wanne, kuhama vyama vyao

    Siasa za kihuni... unazihuzulu alafu unagombea tena ni kucheza na wapiga kura.. tuwakatae
  12. B

    Balozi Kagasheki amtaka Kigwangalla athibitishe taarifa za yeye kupokea rushwa akiwa Waziri, Kigwangalla akana kumtaja

    Kigwangwala hata fanikikiwa maana Tayari kaanza kwa visa kama alivyomfanya Doctor Mwaka. Ukitaka kupambana na adui nenda kimya kimya utafanikiwa
Back
Top Bottom