Duh!!Sawa!! Kakuletea na Lady pepeta?
Siyo aikomboe bali aivuruge kama Pro wa KAFU.Karibu baba uikomboe CHADEMA kutoka kwa mkoloni wake EL.
lumumba mnafurahisha sansanaKaribu sana jembe, wewe ndo mpinzani wa kweli
Mpinzani wa kweli ni mnafki na mlaghai wa sisiemu akipandikizwa upinzaniKaribu sana jembe, wewe ndo mpinzani wa kweli
mkuu siasa sikuwahi kufikiria kama upinzani wangempokea lowassalumumba mnafurahisha sansana
Ameshakuwa jembe gafla
Si mlisema kaiba mke wa jamaa flani
Wamegundua hana dosari ndo mana.mkuu siasa sikuwahi kufikiria kama upinzani wangempokea lowassa
amekua balozi canadaKaribu baba uikomboe CHADEMA kutoka kwa mkoloni wake EL.