Abarikiwe founder wa JF na participants wote kwa sababu hii forum imeniokoa mara kadhaa kuingia mkenge katika hizi investment organizations.
Huwa nina tendency ya kwamba nikisikia dael ni lazima nije hapa nisikie wananzengo wanasemaje kuhusu nilichokisikia.
Mchongo wa Mr. Kuku farm niliamshwa...
Nimesoma neno kwa neno mwanzo hadi mwisho,ushauri mzuri wa kiufundi wenye uzalendo wa kishabiki ndani yake
Nikisummarize nilichokielewa ni kwamba
1.Simba iacha kusajili kwa mazoea,kusiwe na uswahili wa 10%
2. Simba iachane wachezaji wazawa wote isipokuwa A.Manula Apate changamoto ya makipa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.