TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,075
Kila mrussia ni wa moto hakuna aliyepoa. Tufundishe watoto wetu hesabu!Lavrov akija achiwa nchi na Putin,anaonekana mnyama sana
Kila mrussia ni wa moto hakuna aliyepoa. Tufundishe watoto wetu hesabu!Lavrov akija achiwa nchi na Putin,anaonekana mnyama sana
God forbids!Haya mambo yanavyoenda naweza ishuhudia WWIII katika zama zangu kama babu yangu alivyoishuhudia WWII.
Lavrov akija achiwa nchi na Putin,anaonekana mnyama sana
Ukiongea jambo kuwa na ushahidi sio kuongea kwa ushabiki tu Yani Marekani amuogope kiduku kweli ?kwa uchumi gani alionao kiduku.kushinda vita Huwa inategemea una uchumi gani.Marekani kamshindwa mtoto mdogo Kiduku ,atamuweza mtaalamu wa mapambano na intelijensia Putin.
Marekani kapigwa kombora kambini kwake na Iran akashindwa kufanya kitu chochote..
Hio ni mikwala tu marekani hakuna kitu anaweza kumfanya Russia.
#teamrussia.
Vita sio uchumi tu.. angalia vita ya Us na Vietnam .. pia angalia vita ya Us na wanamgambo wa Taliban ya miaka 20 mwisho wa siku Us wamekimbia wamesahau hadi vifaa vyao vya jeshi. Vita ni zaidi ya uchumi na hesabu za vifaa..Ukiongea jambo kuwa na ushahidi sio kuongea kwa ushabiki tu Yani Marekani amuogope kiduku kweli ?kwa uchumi gani alionao kiduku.kushinda vita Huwa inategemea una uchumi gani.
Hatutaki propaganda kwanini tupige kelele wakati mwanaume anafanya yake. Muda huu tujadili vita yaani uhalisia.hii habari ya nenda kasome kile ama iki uwa haina maana, weka hapa kile ulichokisoma kwenye hiyo mkataba kwa manufaa ya wengi.
vipi, mleta uzi nae angeliandika tu NENDENI MKASOME IKI NA KILE, tungelikuwa na cha kujadili hapa?.
EBU FANYA UCHAMBUZI WAKO TUPATE DARASA.
May your wish be fulfilled mkuu.God forbids!
mmebarikiwa mihemko. kupinga kitu ni rahisi sana ila kueleza ni kwanini unapinga ni mutihani.Hatutaki propaganda kwanini tupige kelele wakati mwanaume anafanya yake. Muda huu tujadili vita yaani uhalisia.
Mihemko ndo ubinaadamu. Hawafanani waja. Tuangalie mpambano mwisho tuhitimishe ubishani wa siku nyingi.mmebarikiwa mihemko. kupinga kitu ni rahisi sana ila kueleza ni kwanini unapinga ni mutihani.
utofauti wake na yeye ni kwamba yeye ameweza andika hapa hizo propaganda usizozitaka na watu wamezisoma ila wewe UWEZI andika hapa hizo facts hapa unazozijua ili wengine nao wazijue.
Sema facist wa Belarus ni rafiki wa Putin. Jitu liko madarakani since 1994 halitaki kuondoka. Communist ideology ni tatizo.Belarus Ni rafiki wa Urusi na mpaka Sasa Kuna jeshi la Urusi pale Sasa marekani atawezaje kuingiza jeshi lake pale
Naona Sasa USA ameanza kulaghai ulimwengu
Unataka kusema Belarus wewe unaifahamu kuliko MarekaniBelarus Ni rafiki wa Urusi na mpaka Sasa Kuna jeshi la Urusi pale Sasa marekani atawezaje kuingiza jeshi lake pale
Naona Sasa USA ameanza kulaghai ulimwengu
UZI UFUTWE TU. 🤣 USHAMALIZAMkuu nenda kasome tena history pepar II ADVANCE halafu ndio uje na chai zako km sio kahawa iliyokosa ....soma movement ITALIAN UNIFICATION ,SOMA GERMANY UNIFICATION , NA SASA NI ZAMU YA RUSSIA UNIFICATION , na nchi za magaribi wamekuwa na propaganda kama chai yako , but puttin hana propaganda anayetaka aende akaguse RUSSIA HATA PIGANA KATIKA NCHI YA BERLAUS ILA ATAPIGA MIJI YA MAREKANI ndio maana unaona marekan anagwaya sana .....bado haiwezi URUSI , kwa jeshi technolojia na ujuzi wa kisayansi ...si upo ndio maana marekani kakimbilia vikwazo badala ya kuingiza jeshi amezoea kuonea nchi za uarabuni
mtu aliyesoma history advance hawezi mlaum PutinUZI UFUTWE TU. 🤣 USHAMALIZA