Uzima huu unatia watu jeuri kweli
yaan nyuma ya keybod hapo ndo unavimba haya......sijui atakufanya nini mana akili zake hazchunguzki ila zimeshafika kabla ujatype.
Hawa wapigaji t....kuna mwalimu wangu wa msingi nimesikia kashinda M 10 ile kufatilia kumbe ana mdogo wake yuko biko ana bonge la tak.o nikajiongeza hapa kashindishwa....mara kuna siku tatu mzuka mussa hussein anampigia simu mshindi mshind akapokea akjibu "eeeehh mussa nambie" basi mussa hussein...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.