Matajiri Kumi Wa-Tanzania

Matajiri Kumi Wa-Tanzania

Mbona 9 wote wahindi kasoro mmacheme??
 
Kupitia huu uzi nimejifunza kitu kimoja
kwamba,vyama vyoote vya siasa
vinavyosikika nchi hii,kimoja tu ndo
cha watanzania wazalendo.
 
Kweni manji, wenzetu hawa wanautaratibu msimamizi ndiye mambo ya biashara kama mzee wao hakupo au anapopumzika na kukabidhi kijiti kwa vijana kwa uchaguzi wa kifamilia anaechaguliwa ndo anakuwa nembo ya kampuni mikataba yote na makubaliano yote yanakuwa chini yake.
hivi huyo MO utajiri wake ni upi hasa maana yeye ni msimamizi wa mali za familia-bora wangesema MO familiy ningawaelewa!
 
Back
Top Bottom