M-Pesa sio salama

M-Pesa sio salama

Kosa lako hilo boss, tusipende kulauma laumu hata pasipolaumika. Jilaumu mwenyewe
 
Hakuna wizi hapo, umekosea mwenyewe so ni suala la umakini wako na intergrity ya mpokeaji. But one thng angalau voda wangefanya ni Wangeweka utaratbu wa kuingiza deni kwenye line ya aliyepokea kimakosa ili siku akipokea hela ikatwe kufidia kiasi kile.
Hili nalo sio sahihi. Inaweza kupelekea mtu ukimtumia pesa alafu mkagombana unawapigia voda kwamba umekosea kutuma namba ili awekewe deni, solution ni kuwa makin wakati wa kutuma ova
 
Pole sana ilikuwa bei gani? Dah mi nakumbuka nililiwa laki nane ndani ya dakika 5 tu na laini ikavunjwa haikupatikana tena
 
Nadhani kama ni juhudi wao wameshafanya za kutosha tu kuhakikkisha usalama kwa Mteja.

Ujumbe unaokuja ukiwa na jina la unayemtumia kabla ya kuruhusu muamala ni kuwajibika tosha kabisa.

Sasa hapa unachofanya ni kujaribu kukwepa wajibu wako, wamekwambia ukashtaki Poilisi hutaki sasa wao wafanyaje?
 
Walichoniambia MPESA nimwombe mwizi arudishe hela zangu na ameamua kukaa kimya.
Jina la mwizi ni SAMWELI DEU MWENYE NAMBA 0759548421 na anaolafudhi ya kisukuma yet wanajidai hawawezi kumpata
Fanya kazi Mzee upate pesa yako, sioni kosa la Mpesa hapo.
 
Nadhani waongeze kipengele cha kuingiza namba ya mpokeaji mara mbili, kwasababu watu wengi mara nyingi hukosea digit moja, wakiweka option ya kuingiza namba ya mpokeaji mara mbili itapunguza idadi ya watu kukosea kutuma.
Ukiingiza mara ya kwanza kama ulikosea ukaingiza mara ya pili sahihi basi process itakwama ikikutaka uandike namba upya vizuri na hapo utakua makini zaidi bila shaka.
 
Wewe ulishatumia paypal kununua bidhaa nje kokote duniani na ukatuma hela na muuzaji akaingia mitini? paypal wanakuwa responsible kumtafuta mwizi na hela zako unarudishiwa
Acha kufananisha PayPal na jamaa hawa njaa walishauzaga details zangu (conversations zangu za sms) na mke wa jamaa. Jamaa akaprint kama ushahidi siku akaanza kumuwashia moto mkewe kisha akaanza kuniwinda. Bila mbinu za medani ilikuwa niwe RIP tunavyozungumza
 
Hapo voda usiwalaumu kwa lolote ni uzembe.walichokuambia ni sahihi kabisa wao hawana mamlaka ya kumkamata mtu yeyote.kama walivyokushauri kafungue kesi polis wao ndio wenye uwezo na mamlaka ya kumkamata na kumfungulia mashtaka.tatizo wewe unawaza PESA tu uliyoipoteza.
 
Alafu mjadala wote umeegemea kwa aliyeibiwa na Mpesa wafanye nini.

Hakuna anayemlaani huyo Mwizi...ni kwa nini umuibie Mwenzako kwa kuwa tu kakosea kutuma pesa?

Hebu binaadamu tuache kuwa mashetani, unamuibia Mwenzako alafu unaona hiyo ni haki yako kabisa, kumbuka jasho la Mtu haliliwi..pesa haitokusaidia chochote zaidi ya kujisababishia laana tu.
 
Japokuwa huwa tunaambiwa tuwe makini tunapotuma pesa, but Itabakia vile vile binadamu kufanya makosa tumeumbiwa upindue vipi lazima utateleza na watu watu watashangaa hadi hii umekosea???, Hapo jamaa kasema hajawahi kosea kutuma pesa ndo mara ya kwanza (kwa nn tusimpongeze kwa hilo) , but kukosea siku moja lawama telee.......

Cha msingi hii mitandao iwe kind kwa wateja kabisaa watu wakitukana au wakitoa lugha chafu hata kama yupo mbugani watampata na kumdaka why this????

Kuna jamaa aliokota simu yeye akawa na ustaarabu wa kibabe tuu akapigiwa na mwenye nayo jamaa anasema mie ntakuwekea laini zako sehemu flani njoo uchkue but simu yako sahau, hivyo yaani, we unachkua pesa, unapoteza muda wa mtu,

Hivi hujui hii pia itakutokea tena probably it will be doubled....



mtu kama una tumia smart Phone kila siku utakuwa unakosea hii kitu
 
Siyo salama kwa sababu hakuna mechanism ya kuhakikisha usalama wa hela ya mteja. Huyu mtenja ndiye anayeifanya MPESA iwe MPESA. Na kama hutamjali akaogopa kuitumia huduma lazima mpesa itayumba
Kuna sehemu tunakosea sisi kama wateja, suala la kukosea muamala ni kosa la mteja na kazi ya kampuni ni kukusaidia kurudisha muamala mara tu unapouripoti, lakini changamoto inakuja pale unapokuta hela imetolewa.
Ikumbukwe kuwa kampuni haina ushahidi tosha kuwa kweli umetuma fedha hiyo kimakosa au umeznguana na uliemtumia ukaamua kutaka kurudisha hela hiyo na ndo maana huwezi kuambiwa jamaa alipo na wakala alietoleapo kwaajili ya usalama maana ukiambiwa ww ukafika pale bila shaka ngumi zitapigwa. Kwakuwa hilo tukio tayari ni kosa la madai bila shaka ndio maana unashauriwa ufike police station ili upate kibari cha kwenda na police vodashop yoyote ili wawe kuitrack hyo namba na wakala alietoa hyo hela ili mambo yaende kwa haki vinginevyo mteja wa kawaida hatakiwi kupewa taarifa za account ya mteja mwenzake. Lakini pia, vodacom imeshaboresha njia za utumaji pesa kwa mpesa kwakuhakikisha jina la mteja unaemtumia ili kuepuka mambo kama hayo, lakini pia unapo tuma pesa kimakosa badala ya kukimbia kupga namba 100, cha kufanya huo muamala unafoadi kwenda namba hiyo hiyo 100 bila kuongea nao na hela yako inazuiliwa ndani ya sekunde hizo hizo na muamala kurudishwa. Kuwapgia simu unachewa saana na jamaa anaweza kuwa ameshaitoa.
Japokuwa ni ushauri mzuri kuwa mteja aweze kutoa pesa japo baada ya kupokea pesa na huo mda bila shaka atautumia ktoka home kwenda kwa wakala.
 
Tunawanufaisha sana hawa watu wa mitandao ya simu ila inapokuja mteja kapata tatizo hawana time naye
Sasa wewe ulitaka wafanye nn hiyo ni biashara kama biashara nyingine mzee.ni sawa na unpoenda kununua chumvi,sabuni,nguo.ulitaka wafanyenye biashara ni faida mzee
 
Siyo salama kwa sababu hakuna mechanism ya kuhakikisha usalama wa hela ya mteja. Huyu mtenja ndiye anayeifanya MPESA iwe MPESA. Na kama hutamjali akaogopa kuitumia huduma lazima mpesa itayumba
Kwa hiyo ulitaka voda wawe wanaisindikiza mpaka wamkabidhi kuwa huyu ndio mlengwa aliyekusudiwa technologia haikosei wewe mtumiaji ndio unakisea makosa yako wewe usiwaangushie lawama wengine
 
Walichoniambia MPESA nimwombe mwizi arudishe hela zangu na ameamua kukaa kimya.
Jina la mwizi ni SAMWELI DEU MWENYE NAMBA 0759548421 na anaolafudhi ya kisukuma yet wanajidai hawawezi kumpata
Hali hii arudishe pesa
 
Hakuna wizi hapo, umekosea mwenyewe so ni suala la umakini wako na intergrity ya mpokeaji. But one thng angalau voda wangefanya ni Wangeweka utaratbu wa kuingiza deni kwenye line ya aliyepokea kimakosa ili siku akipokea hela ikatwe kufidia kiasi kile.
Na hilo haliwezekani voda kuweka deni watakuwa wanafanya Froude wao wenyewe tena ni kosa.
 
Suppose namba zangu ni 075423678 na niliyokosea inasoma 0754233978 . sometime ni ngumu kuona hiyo namba hapo katikati haswa ukizingatia mazingira niliyotumia hela yalikuwa kwenye gari linalotembea.
Kabla ya kuthibitisha si jina linakuna kwanza unyemtumia mzee?
 
Kunawatu wananamba za mawakala kabisa kichwani,ukiingia muamala wanatoa juu kwa juu na wanasema hajaona kitu
 
Hongera mkuu kumbe kimombo kinapanda....tutakupa mwanafunzi jiwe um-coach aweze kuongea kama na wageni wake pia awe na confidence za kusafiri.
 
Back
Top Bottom