Zamani zilikuwa na thamani siku hiz uko baa unafanya yako na wife linakuja jamaa kajaza mkononi linapiga promo biashara sasa mwenye akil zake anaweza kununua bidhaa hiyo baa tena mbele za watu ambao tayar akili za usiku zishakuwa mixing
Kuhus diva na Zamarad najaribu ku upload pictures zao kuanzia 1993 zenye caption swala la kadinda na wema wanachangia bwana hilo halina ubishi sijui nikupatie uthibitisho wa aina gani isitoshe mtoto wa kiume huwez kujibatiza jina la kike kwenye Instagram martin ana account fake anajiita mwatumu38
Diva si mtoto wa ndani ya ndoa kwa mzee malinz bali history inaonyesha kuwa mama yake alikuwa mfanyakaz wa ndani kwa malinz ndio mkuu akachepuka bahat mbaya ikazaliwa hii adhabu nje ya ndoa kama alivyokuwa Zamarad Mketema naye mama yake alikuwa house girl wa Marehem Mketema mama wa Zamarad ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.