Maajabu ya kalenda ya mwaka huu 2014!

Maajabu ya kalenda ya mwaka huu 2014!

Afadhali hata wewe umeelimisha watu tumeelewa, angekuwa FaizaFoxy hapa angeishia kutukana tu na kuponda wengine, ubarikiwe mama
Ndugu Masanza' Nakusabahi kwanza, Nakuwa salimu wanaJF.. Nikusihii kidogo tu iliusichume dhambi na kueleweka vibaya kwenye jamii tafadhali jiepushe kuchanganya maudhui au kujumuisha watu wasiyomo kwenye mjadala.!! Heshima kwako na kwa Dada FF. Siye wote ni wanyonge na dhaifu tutaishia ku-mchangani tuwe chakula cha ......!!
Good day and stay well.
 
kwani hizo siku ni public naona hakuna public yoyote, labda mnaojua historia mtujuze
 
Sidhani.. labda mwaka jana sikufikiria hili na mwakani bado sijafika siwezi kusema lolote.

C lazima kufika ndo ujue. Kalenda zipo tayari hata ya 2020!
3/3/2020 - Jumanne
5/5/2020 - Jumanne
7/7/2020 - Jumanne
Ni ajabu kwani hiyo?
 
Nashangaa !.....wakati maajabu yapo kwa TB Joshua tu !

Usiangalie Maajabu ya ki Mantik, ambayo kwa akili yako ni kutambua,hebu angalia namba tu zilivyo jipanga,
4+4=8
6+6=12
8+8=16
10+10=20
12+12=24

8-->12=4
12-->16=4
16-->20=4
20-->24=4
why 4? Huoni ajabu
 
Ni kweli kabisa dada Afro-Arabica, nimekuelewa
Ila yule dada hanaga staha hata kidogo, anataka anachoamini yeye basi watu wote waami hivyo
Ahsante na halikuwa lengo langu kumuumiza yeyote
Barikiwa na Mungu aliye hai....

Ndugu Masanza' Nakusabahi kwanza, Nakuwa salimu wanaJF.. Nikusihii kidogo tu iliusichume dhambi na kueleweka vibaya kwenye jamii tafadhali jiepushe kuchanganya maudhui au kujumuisha watu wasiyomo kwenye mjadala.!! Heshima kwako na kwa Dada FF. Siye wote ni wanyonge na dhaifu tutaishia ku-mchangani tuwe chakula cha ......!!
Good day and stay well.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kabisa dada Afro-Arabica, nimekuelewa
Ila yule dada hanaga staha hata kidogo, anataka anachoamini yeye basi watu wote waami hivyo
Ahsante na halikuwa lengo langu kumuumiza yeyote
Barikiwa na Mungu aliye hai....
Chifu MasanzaKona Ushujaa wako uendelee kwa milele.... dunia hii iwe uwanja wa kutenda mazuri na kuchuma mema... Kind thanks and blessings.
 
kama umekosa kalenda ya mwaka huu usipate tabu chukua kalenda ya mwaka 1997, kwa kiasi kikubwa zinarandana....

Achana na ya 1997 INAYORANDANA, pata ya 1947 kwenye internet maana KILA KITU KINAFANANA.
 
april 4 ni friday
june 6 ni friday
august 8 ni friday
october 10 ni friday
december 12 ni friday

kama umekosa kalenda ya mwaka huu usipate tabu chukua kalenda ya mwaka 1997, kwa kiasi kikubwa zinarandana.... Think twice.

Calender ya mwaka 1947 ni sawa exactily na 2014
 
Back
Top Bottom