Recent content by Babalenad

  1. B

    Uhamisho TAMISEMI tayari

    Ujaweka wapi imanihope
  2. B

    Kubenea aishiwa Uvumilivu! ajiandaa kutoa taarifa itakayowagusa CCM, Magufuli na Jeshi la Polisi

    Sisi tulishamaliza uchaguzi kilichobaki ni utekelezaji WA sera tu, mtaangaika Sana hata jiji liwe chini yenu lazima muwe chini ya CCM maana naona mtaki kabisa kuongozwa na CCM inawabidi mkatafute nchi yenu ya kaskazini
  3. B

    Master plan ya Lowassa ni ipi?

    El alikuwa anaitaji kuwa rais hata kabla ya 1995 acha kuandika andika tu
  4. B

    Dr. Slaa kuzungumza na Watanzania kupitia Star TV, leo Ijumaa, saa 3 Usiku

    Nyie tumewazoea mtu akisema ukweli mnamfukuza au mna...d..i alfu akishwakuwa nje ya system yenu ya wanafiki mnasema wasaliti. Mungu yupo na atazidi kuwepo
  5. B

    Wazo: Uitishwe Mdahalo kati ya Magufuli Vs Lowassa

    Ninachoitaji ni wabunge wa upinzani wawe 50% bunge, ili waweze kuisimamia serikali vzr. Ila kwa upande wa rais sina imani na EL kwa maandalizi haliyo yafanya ili awe rais napata tabu sana kuhusu kikatio changu cha urais
  6. B

    Aisee! Kumbe Dar kuna matajiri mashoga

    Nipm namba yake huyo boss tuchezi nae
  7. B

    Special Thread: Usiku wa mahaba

    Nyie vipi, maunjanja hatupeani kwa maneno ni vitendo tu kwenye 6%6. So who is enterest? Npm
  8. B

    Baada ya Jaji Augustino Ramadhani kukana kiapo chake, Kanisa la Anglicana TZ litoe ufafanuzi

    Huyu ndio mtu tunayee mwitaji nchi hii asiye na makundi na mfanyabiashara
  9. B

    Chama Cha Mapinduzi kimekufa, wamebaki wachumia tumbo

    Ckaa kuwa kimekufa ila kwa huyu dr ramadhani
  10. B

    ACT - Wazalendo kufanya mkutano mkubwa Mpanda

    Next wiki naenda kujiunga na chama pale TEGETA makaoo makuu, acha tuonge, tufichue na tutee asilimali za taifa letu kwa walio gueza kuwa nchi hii ya watu wachache. UZALENDO KWANZA AMINA
  11. B

    TRA ina nyonga wadogo

    Nchi imeoza wakubwa, nchi ambayo kila mtu aliziki na anachopata hadi kitu kidogo ndo anakuachia haki yako na imesabushwa na kuwa na viongozi wafanyabiashara ambao wao kazi yao kubwa kuangalia faida inayongia kiharamu. Pole sana we lipia uje utupige bei kubwa ndio wanachotaka
  12. B

    Korea Kaskazini: Taifa hatari Kuliko Yote Duniani

    We acha kuwa na mtazamo potofu, unazani wamarekani wanapenda nchi yeyote dunian kuwa juu yao kwa taarifa za kiusalama, KK ni moja ya nchi zinazohogopwa na kufiwa na marekani, hvyo wanajitaidi kwa namna yeyote ile kuinyong'onyesha serikali hiyo kwa kuichafua
Back
Top Bottom