Mpunga bora huangaliwa kwa kuchukua sampuli ya mpungo huo na kuupekecha katika viganja vyako matokeo ndio majibu yako,endapo mchele uliopekechwa utakua umekatika katika basi mpunga huo hauko sawa na endapo mchele mwingi unatua umenyoooka basi ujue mpunga huo ni shwari na utapata matokeo mazuri...
Kwanza inabidi utambue katika ubora wa mchele kwa kigezo cha radha na harufu nzuri n mchele kutoka mbeya,ila kwa kigezo cha mwonekano n mchele kutoka kanda ya ziwa..na kwa upande wa soko mchele wa mbeya uko juu sana
Leo unaenda sehemu mwanamke anapewa first priority zaid ya gents ijapokua lady hana sifa zinazofit kua mahali pale in other hand unakuta anapewa lite work..what the meaning?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.