Huo ni uongo stories za wahenga. Nimeshanga'twa zaidi ya Mara 3 na huyo mdudu. Mara moja alifanikiwa kukimbia baada ya kuning'ata.Huyo mdudu akikuuma kadri anavyo tembea ndivyo sumu inasambaa mwilini
YerewiiiiKuna mwenzao mmoja aliwahi kuuwa kicheche.... Basi akakuja humu jf na boonge la heading eti "Wana jamvi, leo nimepambana kiume na mpambano haukua wa nchi hii" alafu mwisho akaweka na picha ya marehem....![]()
![]()
![]()
bigmindKuna mwenzao mmoja aliwahi kuuwa kicheche.... Basi akakuja humu jf na boonge la heading eti "Wana jamvi, leo nimepambana kiume na mpambano haukua wa nchi hii" alafu mwisho akaweka na picha ya marehem....![]()
![]()
![]()
Sheikh Zanziberi kwema?Siku moja nilikuwa nimekaa barazani huyu mdudu alikuja kuingia ndani ya suruali sikujua kabisa, mara hafla nikahisi kitu kinantembea, nikajua visusumizi tu, nikabofya kwa nguvu ili kujikuna kidogo. mara [red]hafala nahisi mtembeo kwenye paja yuwaja juu, sikujali tena nlivua suruali nijui nini kumbe tandu...
Hata jamaa yangu aliingiliwa na huyu mdudu kwenye suruali lakini bila ya kujua kama ni Tandu alivua suruali na kumtoa bila ya kuumwa,nadhani inapofikia kukuuma ni lazima utakuwa umembana au umemkanyaga,tofauti na Nge..Siku moja nilikuwa nimekaa barazani huyu mdudu alikuja kuingia ndani ya suruali sikujua kabisa, mara hafla nikahisi kitu kinantembea, nikajua visusumizi tu, nikabofya kwa nguvu ili kujikuna kidogo. mara hafala nahisi mtembeo kwenye paja yuwaja juu, sikujali tena nlivua suruali nijui nini kumbe tandu...
Pole sanaMtoto wangu ali umwa na huyo mdudu kisha kambeba kaja nae hahaha ilikua shughuli maana alikua bado hajaanza kuongea vzr baada ya mda kidogo joto lake la mwili lilipanda sana kiasi tuliingiwa uoga sana, shida ikawa hosp za kiTz hawajui dharula kabisa ya mtu anae umwa magonjwa ya kawaida na alie umwa na mdudu ama kupata ajali wakataka tukae foleni tuliyo ikuta na foleni kwenye hosp za watoto zilivyo mh! Mtoto hali ili change kabsaaa sikuamini kama mdudu huyo akiamua kufanya yake anaweza kubadili hali ya hewa, mwisho alipata matibabu na hata ivyo tuliambiwa anabahati alie mng'ata alikua mdogo hivyo sumu si kubwa sana mana alikua kama ana rangi ya kijani kidogo, kwa madai ya dr anasema wale wekundu na wengine wanakua kama wana mbawa mbili mwishoni mwa mikia yao ndio noma zaidi
Kwa kifupi sio mdudu rafiki sana huyo kama nnge
Yah nahisi ni kweli, kama umekaa umetulia ivi hakuumi ata kama anatembea kwenye mwili hata kama utamuondosha kwa mkono na akawa bado yupo katika mwili haumi, huyu nahisi anauma pale unapombonyeza kwa nguvu kiasi cha kuhatarisha uhai wake ndio ana respond. Nilishukuru mana nlikuwa na waza sijui kama ningekufa siku hio 😀 😀 😀Hata jamaa yangu aliingiliwa na huyu mdudu kwenye suruali lakini bila ya kujua kama ni Tandu alivua suruali na kumtoa bila ya kuumwa,nadhani inapofikia kukuuma ni lazima utakuwa umembana au umemkanyaga,tofauti na Nge..
😀😀😀😀😀😀😀😱Huyo mdudu akikuuma kadri anavyo tembea ndivyo sumu inasambaa mwilini
Tandu Huyo, Kuna species nyingi sana, baadhi ya specie wana sumu Kali sana kiasi akikung'ata ukachelewa kupata matibabu Unaweza ku-paralyse mwiliHabari wakuu,
Hapa nnapo ishi nimekutana na hawa wadudu mmoja ni mkubwa balaa na mwingine ni mdogo kama huyu, sasa nauliza hawa wadudu wanaitwaje je wanauma na akikuuma dawa yake ni nini na njia ya kuwazuia ni ipi.Nimewakuta wawili wapo karibu na shimo la maji machafu wanakula mende.
View attachment 696000
Hawa wanaume wa Dar ni shida nyingine haki....angeua nyoka si ndo angeenda tangaza tbc ukweli na uhakika
