Mwanaume makini atajibidiisha katika idara zote,kuanzia uchumi hadi elimu, angalau hiyo italeta tafsiri halisi ya mwanaume ni kichwa cha nyumba. kinyume na hapo utaishia kulialia tu. After all hujafungwa nae huyo msomi, kama unaona elimu ni kikwazo basi, kaoe ngumbaru mwenzio. Umeniangusha sana...