Recent content by Baba_Rio

  1. Baba_Rio

    Kwaheri TTCL, kila lenye mwanzo halikosi mwisho

    Okay mwaka 2020 TTCL iliwahi kutoa gawio la Bil 2.1 PITIA tukisogea miaka miwili mbele tunaambiwa inajinedesha kihasara sasa hapa nadhani wangeweka tu wazi what happened mpk TTCL atoke kutoa 2.1 mpk kuonekana hasara within just 2 years
  2. Baba_Rio

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    bournemouth yaaan daaah wameniuw kila kitu timu zote 5 zilikubali wadau nisaidieni Timu za uhakika kesho nirudishe mtaji.....
  3. Baba_Rio

    Tatizo la laptop kujizima naomba msaada

    Nina Acer Aspire 5601 AWLMi adapter yake ni mpya kabisa lakini machine aiwaki hata taa ya battery haioneshi kitu yaan sijui nifanyeje msaada tafadhani na kam ni kutengeneza itacost kiasi gani ili nijipange kbsa
  4. Baba_Rio

    CCM na dansi yao wenyewe

    Ama kwa hakika ni uchwara au uchovu tu wakufikili tu kwa watu kadhaa wanaongoza chama hiki kikongwe hapa Tanzania sitaki kukikashifu chama hichi kitaifa ila kwa ngazi ya chini kabisa ni siku mbili tu zimepita Tangu chama hichi Tawala kimemaliza mchakato wake wa kuchagua wagombea watakaogombea...
  5. Baba_Rio

    Nahitaji simu haraka bajeti yangu 50k to 100k

    niPM nina samsung galaxy pocket GT-S5300 bei 80000
  6. Baba_Rio

    Inaniuma kuiona Liverpool katika hali hii

    mkuu kuuzwa kwa Suarez sio sababu ya msingi ya kujitetea kushuka kwa kiwango cha liver kwan pesa walizopaTa walishindwa kusajiri mtu mwingine mwenye uwezo wa kuziba Pengo la Suarez
  7. Baba_Rio

    tecno smart inatakiwa

    wakuu kwa yoyote aliye na tecno smart napenda tufanye biashara nina nokia asha 201 na 40000 yaan nampatia simu na hela kwa aliyetayari nicheck kwa 0712094731 nipo dar na hata mwenye bb ni sawa tuu napenda kuwasilisha wakuu
  8. Baba_Rio

    nokia c3-01

    mkuu kam utapenda ongeza 10 hapo nikupe nokia asha 201
  9. Baba_Rio

    Nokia asha 201 inauzwa

    n7 dukani ni kilo moja na tisin mapka mbili
  10. Baba_Rio

    Nokia asha 201 inauzwa

    tata hebu nicheck kwa 0712094731
  11. Baba_Rio

    Ofa ya dina kwa mkaka siku ya wapendanao

    swali la muhimu sana
  12. Baba_Rio

    Nahitaji Simu Nokia E72

    mkuu kuna nokia asha 201 ipo hapa kama unahitaji pm mzee bei ni powa sana
  13. Baba_Rio

    Nokia asha 201 inauzwa

    yaaaah asante mdau ndo maan nimesema bei inaongeleka mzee
  14. Baba_Rio

    Nokia asha 201 inauzwa

    Wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu ni nokia asha 201 ipo safi tuu bei ni 60,000. Kwa aliyetayari ni pm tufanye bishara bei inaongeleka, Napenda kuwasilisha hoja. Asante wadau
Back
Top Bottom