Recent content by Baba yenu

  1. B

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nashida na iphone 5 au 5s full box mwenye nayo nichek 0762299111
  2. B

    Natafuta nyumba ya kupanga sinza

    Iwe chumba na sebule+jiko Vyumba vizur Tiles Aluminium window Gypsum Iwe vzr pls Mwenye nyumba asiwe anaishi hapo pls Bajeti yangu ni laki nne
  3. B

    Wafanyabiashara wa muziki jifunzeni ya Ali Kiba

    Mtaendelea kupata hasara maisha yenu yote kama mtaendelea kumuita Alikiba katika show zenu Alikiba ana umwinyi sana,anamanagment mbovu,yeye mwenyewe hajitambui kabisa Unapoandaa show na kumlipa msanii ahusike katika show anapaswa akusaidie kuitangaza show husika ili na wewe urudishe pesa...
  4. B

    Usiende kariakoo

    Nilitaman anachokifanya na ukienda muda wote pamejaa watu
  5. B

    Usiende kariakoo

    Hahahaha
  6. B

    Usiende kariakoo

    Nenda dukan kwake utamkuta
  7. B

    Usiende kariakoo

    Hata sina undg nae ila nilipenda anachokifanya yule kijana na pale nilipelekwa na wife
  8. B

    Usiende kariakoo

    Usiende kariakoo
  9. B

    Usiende kariakoo

    Fanya uende mpk sinza madukani uulizie duka linaitwa usiende kariakoo then utakachokutana nacho ulete feedback
  10. B

    Usiende kariakoo

    Dah!! Hili duka linakimbiza kwa sasa hapa mjini hatari... Huyu kijana ni mbunifu sijawah ona. Juzi nimepita na kununua raba zangu pale kwake baada ya kuona matangazo ya biashara zake kwenye mitandao ya kijamii ambapo mwanzoni sikuamin kama itakuwa kweli maana bei ilikuwa cheap sana ila...
  11. B

    Mwenye uzoefu na Baypot

    Mimi ni mfano ndg nilikopa 4m baada ya muda den likaja 14m niliona isiwe kesi wamenikomoa na me nawakomoa silipia naacha kaz sahiz nimejiajir naishi kwa amani
  12. B

    Mwenye uzoefu na Baypot

    Chanzo cha mimi kuacha kazi ni bayport nilikopa 4m nikashangaa den linakuja 14m hapohapo nikaacha kaz na kujiajir maana ningekuwa nawafanyia kazi!!
  13. B

    Kama amenichoka aniambie niende kwetu

    Mmeo ni kama mimi,nimeoa ila nahisi nulikosea sana kuoa maana simpend mke wangu,sina ham nae,sisimki wala sitak hata mazoea nae hali hiyo imesababisha niache kazi na kuka kujiajiri mjini na kumuacha mkoani! Kiukweli niko nae kwa sababu iman yangu haina neno kuvunja ndoa na yeye anajua simhitaji...
  14. B

    Napinga kuajiri kwa vigezo vya GPA.

    Kwan lazima uajiriwe? Achen ujinga
  15. B

    Hii ndo EPL Gurdiola

    Hahaha mnataka mumuadhiri mzee wa watu
Back
Top Bottom