Kwanza pole sana achana na mawazo ya kuwazia ajira nionavyo mm kuna shughuli kibao za kufanya siyo lazima uajiliwe ndo utoboe kimaisha anzisha bustani au kilimo cha mazao ya Biashara kulingana na eneo ulilopo ukifanya kwa nia utafanikiwa tu ila usijiingize ktk Mali za kishetani coz itakugharimu...
Nimekuwa nikifuatilia jinsi makada mbali mbali wa chama cha Mapinduzi (CCM) wanavyokihama chama hicho ndo kusema kwamba CCM imenunuliwa zaidi kuliko UKAWA? Au Chadema? Hahaaaaaaaa CCM bhana kumbe hamna mbinu za campaign MTU mmoja tu ameendelea kuyumbisha chama takribani miezi 3, mmeshindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.