Habari za usiku huu wapendwa,
Mada niliyoileta mezani nikuhusu pale wapenzi wanapokoseana inapotokea hivyo mara nyingi kwa tathimi inaonekan ni ngumu sna wanawake kukiri kosa hata kama ndo umemfuma basi atajitetea wee kwa namna yoyote ile ili asionekane yeye ndo chanzo yani atataka aonekane...
Hyo kyela Fm kwa kwel pale sidhan hta watangazaji wake wamesomea fani y uandishi nadhan weng n wale waliofel form4 cha kushangaza pia ikitokea umeme umekatika mtaan bas n studio umeme umektka kama kulikua n kipindi mpk wawashe jenereta ndo waendeleze kipindi
Hivi watu kama hao wakitoka kuoga nahisi kabla hajajipaka hayo mavitu wanatia kinyaa sna hata kuwaangalia na sipend sana wanaovaa mawigi maana joto lililopo kwnye wigi ukivuta harfu yke utawez kutapika i hate sana
Is not fear kbsa kama utaweza n vyema ukalipa gharam zote alizokufanyia au ni bora ukamfnyia vitu ambvyo angalau uwe umemuacha katka mazngra fulan mazur
first love nltokea kumpenda sna but yy hakujali hilo alinitenda second alinipenda sana ila sikujali mwisho wa siku kila mtu alshk 50 zake third nlimpend sna ila hakujali....mmmh sijui kwann napopenda naznguliwa napo pendwa nazingua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.