Lege, ujue wew ni mtu wa muhimu sana. Ukiona roho za watu zipo juu kwa sababu yako ujue we ni kichwa. Natamani kukufahamu zaidi. Story zako cjui zina nini.
Ninashukuru sana kwa uzi huu, nimeona wengi hawana uchoyo na suala hili. Ni dhahiri kuwa watazania wengi tumekosa fulsa mbalix2 kwa kutozijua zilipo, na wanaozijua hawazitoa bayana. Shukran kwa waelekezaji, ombi langu, wengi tunataka kusoma nje ya tz yetu, lakini uchumi unadumaza sana ndoto hizi...
Ndgu zangu, ninaomba kuunganishwa na taasisi yeyote unayohusiana na kilichoandokwa juu ili nipate maelekezo.
Nina miaka 3 tangu nimalize shahada yangu ya kwanza ktk chuo kikuu cha DSM, Nina kiu sana ya kupata masters hasa nje ya nchi. Msaada wenu wadau!!!!
Pole na kazi, najua umeamua kuingia kwenye kazi ngumu na ukombozi kwa ajiri ya Taifa hili. Kila ukombozi wowote huwa kuna uchungu kwa upande mmoja na utamu kwa upande mwingine unaopiganiwa.
Lakini yajue haya!
A) Wamepita viongozi wengi tangu taifa lipate uhuru, waliuona huu uozo tangia ukiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.